wakuu, kuna mdau ame-forward hii email kwangu nami nikaona ni busara pia kuitundika jamvini ili wote tuone udhalimu wanaofanyiwa watanzania wenzetu wasio na sehemu ya kutoa kilio chao wakasikika...
Matatizo yaliyojitokeza katika uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura Zanzibar, yamejirudia hapa Bara. Tofauti na Zanzibar ambao walikua na vigezo vya kukataa kuandikisha watu kama...
MKOA wa Tabora umerudisha hazina Sh 326,192,517 walizopaswa kulipwa walimu wa Shule za Msingi baada ya kubainika kiasi hicho cha fedha kilizidi ikilinganishwa na madai yao halali. Madai ya walimu...
Kitendo cha viongozi wa serikali kubadili miswada iliyopitishwa na bunge kimetushtua sana lakini kikubwa ninachokiona ni serikali kulipuuza bunge, je cha kujiuliza ni Bunge lina nafasi gani katika...
Naomba kujua pesa za kuendesha vyama zinatoka wapi??
Ni kwanini Vyama visiwe na miradi yake ili kuviwezesha kuwa na kipato na kujiendesha kama Marehemu SUKITA?
Naomba msaada wadau...
Mchakato wa kujua thamani ya hisa za Rites katika TRL waanza .Habari hii imeandikwa katika gazeti la Nipashe la Jumatatu 29.03.2010 inatia kichefuchefu kwamba serekali hii haijui hata hizo hisa...
nipo feri, for an hour now, kuna vidaftari ya wakubwa wanaopitia VIP, kuna zaidi ya 20% ya peasa isiyofika juu, kuna foleni ya karaha wiki hii, simply to make us desperate... e.g. ijumaa tulipanga...
Jaman hizi sheria nyingine azina adabu zinaitaji kubadilishwa kabisa;kwa mliomsikia mama sophia simba waziri wetu wa utawala nyeti;ametangaza clouds agombei msimu huu,..alipoulizwa na kibonde wa...
Ninajua ukweli kuwa kila mtu mstaarabu anatafuta namna ya ama kuondoa kabisa au kupunguza matatizo ya nchi hii ya Tanzania. Hili ni jukumu letu kila mmoja na kwa pamoja.
Kwa ajili yangu na kwa...
Kwa kweli nimependezwa sana na uwajibikaji wa huyu mama, last week aliamuru kufungwa mara moja kwa shule ya sekondari ya Bundikani huko kibaha baada ya kugundulika wanafunzi wa kidato cha kwanza...
Festo Polea (Mwananchi)
SERIKALI ipo katika mazungumzo na wahisani ili kuweza kupanua barabara ya Morogoro kuanzia Dar es Salaam hadi Chalinze, kwa kiwango cha njia mbili zitakazosaidia...
In the absence of politcal will to fight corruption on our part,GB please choose a bridge of the 100 plus bridges across the Thames and kindly cast the loot upon the waters.Thank you very much!
Mbowe ajigamba adai atamwangamiza Malecela
*ASEMA AKIGOMBEA TU, ATAHAKIKISHA ANAMMALIZA
Na Geofrey Nyang'oro, Dodoma: Mwananchi
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza vita...
Can somebody articulate why it seems there is some kind of a pattern or a logical explanation of why some of the most grisly accidents have happened in or near Kibaha for many many years now? Is...
WanaJamii Sikubali kabisa na serikali yetu kwamba Pesa za ziada za ununuzi wa rada zirudi Serikalini ( HAZINA)
Jana nimemsikiliza Waziri wetu Membe akihojiwa na Charles Hilary wa BBC kuhusu pesa...
- Wakuu JF heshima mbele sana, According to the dataz nilizozinasa sasa hivi, ni kwamba Mwenyekiti wa CCM taifa ameitisha vikao vya dharura, yaani Kamati Kuu ya CCM Tarehe 28/3/10 na kingine cha...
Jamani Watz naomba muangalie hii programme halafu tujadiliane kuhusu huu ufisadi wa maliasili yetu.
Ndugu zangu watanzania,je na ufisadi huu ni nani anahusika?inawezekana Diplomats wa...
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete leo amenusurika kupata ajali baada ya Lori linalodaiwa kuwa na magendo kukaidi amri ya polisi kusimama kupisha msafara huo... Gari la usalama lililazimika kulikinga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.