Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

wakuu, kuna mdau ame-forward hii email kwangu nami nikaona ni busara pia kuitundika jamvini ili wote tuone udhalimu wanaofanyiwa watanzania wenzetu wasio na sehemu ya kutoa kilio chao wakasikika...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Matatizo yaliyojitokeza katika uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura Zanzibar, yamejirudia hapa Bara. Tofauti na Zanzibar ambao walikua na vigezo vya kukataa kuandikisha watu kama...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Askari Polisi wa Kike kutoka Tanzania Waelekea Dafur Kulinda Amani Kamanda Munisi akikabidhi bendera ya Taifa askari hao kwa Mkuu wa msafara...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
MKOA wa Tabora umerudisha hazina Sh 326,192,517 walizopaswa kulipwa walimu wa Shule za Msingi baada ya kubainika kiasi hicho cha fedha kilizidi ikilinganishwa na madai yao halali. Madai ya walimu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kitendo cha viongozi wa serikali kubadili miswada iliyopitishwa na bunge kimetushtua sana lakini kikubwa ninachokiona ni serikali kulipuuza bunge, je cha kujiuliza ni Bunge lina nafasi gani katika...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba kujua pesa za kuendesha vyama zinatoka wapi?? Ni kwanini Vyama visiwe na miradi yake ili kuviwezesha kuwa na kipato na kujiendesha kama Marehemu SUKITA? Naomba msaada wadau...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mchakato wa kujua thamani ya hisa za Rites katika TRL waanza .Habari hii imeandikwa katika gazeti la Nipashe la Jumatatu 29.03.2010 inatia kichefuchefu kwamba serekali hii haijui hata hizo hisa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
nipo feri, for an hour now, kuna vidaftari ya wakubwa wanaopitia VIP, kuna zaidi ya 20% ya peasa isiyofika juu, kuna foleni ya karaha wiki hii, simply to make us desperate... e.g. ijumaa tulipanga...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jaman hizi sheria nyingine azina adabu zinaitaji kubadilishwa kabisa;kwa mliomsikia mama sophia simba waziri wetu wa utawala nyeti;ametangaza clouds agombei msimu huu,..alipoulizwa na kibonde wa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ninajua ukweli kuwa kila mtu mstaarabu anatafuta namna ya ama kuondoa kabisa au kupunguza matatizo ya nchi hii ya Tanzania. Hili ni jukumu letu kila mmoja na kwa pamoja. Kwa ajili yangu na kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa kweli nimependezwa sana na uwajibikaji wa huyu mama, last week aliamuru kufungwa mara moja kwa shule ya sekondari ya Bundikani huko kibaha baada ya kugundulika wanafunzi wa kidato cha kwanza...
0 Reactions
46 Replies
6K Views
Festo Polea (Mwananchi) SERIKALI ipo katika mazungumzo na wahisani ili kuweza kupanua barabara ya Morogoro kuanzia Dar es Salaam hadi Chalinze, kwa kiwango cha njia mbili zitakazosaidia...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
In the absence of politcal will to fight corruption on our part,GB please choose a bridge of the 100 plus bridges across the Thames and kindly cast the loot upon the waters.Thank you very much!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mbowe ajigamba adai atamwangamiza Malecela *ASEMA AKIGOMBEA TU, ATAHAKIKISHA ANAMMALIZA Na Geofrey Nyang'oro, Dodoma: Mwananchi CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza vita...
0 Reactions
70 Replies
7K Views
Can somebody articulate why it seems there is some kind of a pattern or a logical explanation of why some of the most grisly accidents have happened in or near Kibaha for many many years now? Is...
0 Reactions
164 Replies
16K Views
WanaJamii Sikubali kabisa na serikali yetu kwamba Pesa za ziada za ununuzi wa rada zirudi Serikalini ( HAZINA) Jana nimemsikiliza Waziri wetu Membe akihojiwa na Charles Hilary wa BBC kuhusu pesa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
- Wakuu JF heshima mbele sana, According to the dataz nilizozinasa sasa hivi, ni kwamba Mwenyekiti wa CCM taifa ameitisha vikao vya dharura, yaani Kamati Kuu ya CCM Tarehe 28/3/10 na kingine cha...
1 Reactions
181 Replies
21K Views
Jamani Watz naomba muangalie hii programme halafu tujadiliane kuhusu huu ufisadi wa maliasili yetu. Ndugu zangu watanzania,je na ufisadi huu ni nani anahusika?inawezekana Diplomats wa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete leo amenusurika kupata ajali baada ya Lori linalodaiwa kuwa na magendo kukaidi amri ya polisi kusimama kupisha msafara huo... Gari la usalama lililazimika kulikinga...
0 Reactions
68 Replies
8K Views
Back
Top Bottom