Simu ya Kiganjani ya JK..

ngoshwe

JF-Expert Member
Mar 31, 2009
4,131
931
jk_1882.jpg



RAIS Jakaya Kikwete anasema simu yake ya mkononi iko wazi kwa yeyote anayetaka kuwasiliana naye. Namba ambayo wengi tunaifahamu ni 0754 777775.

Akizungumza na viongozi wa madhehebu ya dini nchini, mwishoni mwa wiki iliyopita, Rais Kikwete alisema amekuwa akiwasiliana na wananchi moja kwa moja kwa simu ya mkononi.

Aliwaambia, "…simu yangu ile ipo wazi muda wote. Watu wananitumia sms (ujumbe mfupi wa simu), wananipigia, wengine wananieleza matatizo yao mbalimbali. Nazungumza nao. Nanyi nawaomba msisite kufanya hivyo."

Kikwete alitoa kauli hiyo wakati akifunga mkutano wa siku mbili wa viongozi hao uliolenga kufahamisha kilichomo katika Sheria ya Gharama za Uchaguzi aliyosaini hivi karibuni.

Rais aweza kuwa anajibu simu; na kama alivyosema wakati mwingine hujibu ujumbe aliotumiwa kwa njia ya kupiga badala ya kuandika.

Hata hivyo, hadi sasa hakuna mwenye uhakika iwapo Kikwete anaitumia simu hiyo kupata taarifa kwa ajili ya umma au ni taarifa binafsi. Hii ni kwa kuwa simu ya rais inashikwa na rais mwenyewe.

Ndiyo maana taarifa zinasema, kila anayetuma ujumbe kwa rais hujibiwa na rais mwenyewe.
Baadhi ya wale ambao wamewasiliana naye na ambao nimehojiana nao, wanasema muda mzuri wa kutuma ujumbe kwa Kikwete; na ili ujibiwe, ni kuanzia saa saba usiku."

CHANZO: Gazeti la MwanaHalisi

Wakati Nyerere alikuwa akitumia muda mwingi kusoma na kuandika vitabu na makala za kisomi baada ya kutumia kichwa kufikiri sana, huko tunakoelekea ni kubaya zaidi kwa kuwa tumennza kupata viongozi wasiotumia hata chembe ya muda kufikiri kisomi juu ya dhamana walizonazo kitaifa, ni kizazi cha kushinda kwenye "online games" na "chatings" za sms.

Ni kizazi kinachotegemea zaidi mawazo ya wengine kuendesha fkrra zao kwa kusikia kupitia vyombo vya habari na udaku.
 
Silly cat doesn't even know what privacy is, what hierarchy is, what collective responsibility is, what time management is, what micromanagement is, what populism is (no?), what protocol is, what policy is, what rule of law is, what chain of command is, what delegation is... I could go on and on.

Suffice it to say poor cat wants to take us back to some Harun Rashid Baghdadi shitty type of government.

Even the mayor of Dar can't roll like that nowadays. This is pathetic. This guy is not fit to be mayor of Dar let alone prezidaa of the United Republic.
 
Presidaa, kuwa na simu open, hata Dudus wa tivoli garden, Kingston Jamaica doesn't do that shiit
 
Silly cat doesn't even know what privacy is, what hierarchy is, what collective responsibility is, what time management is, what micromanagement is, what populism is (no?), what protocol is, what policy is, what rule of law is, what chain of command is, what delegation is... I could go on and on.

Suffice it to say poor cat wants to take us back to some Harun Rashid Baghdadi shitty type of government.

Even the mayor of Dar can't roll like that nowadays. This is pathetic. This guy is not fit to be mayor of Dar let alone prezidaa of the United Republic.

Thanx, Kiranga. Anataka kumuiga Thomas Sankara, Murtalla Mohammed au Gaddafi! -- wapi na wapi? wawili niliowataja kwanza waliuawa kwa sababu ya kuwatetea wananchi kwa vitendo, siyo kwa maneno. Sankara, kwa mfdno, alikataa anasa zote, nyumba ya rais, mshara mnono nk ili kuwatungaliza wananchi wake masikini katika kupata maendeleo.

Muungwana wetu anaweza kufanya hivyo na kuyaweeka maisha yake hatarini kutokana na mafisadi waliomzunguka? Na nidiyo maana alilalzimishwa kuchukua moja ya zile 'nyumba za Magufuli' kwani angekuwa kweli ni mtu wa watu angeikataa kata kata na kusema ipewe wqamasikini! Eti anajiweka kwa watu kwa simu ya kiganjani!!
 
It is a good stunt for the joker anyway kwa waTz mapunda ambao alishawaita kuwa ni 'wafuata upepo'.
 
Ahamie Manzese au Buguruni, katikati ya wananchi wenye shida -- ndipo tutakubali kuwa kweli anawajali wananchi. Hapo atawaona vizuri wanavyohangaika kujitafutia riziki -- na hapo ndipo atajua ufisadi anaouendeleza na kuubariki unavyofanya kazi yake!

Nawaasi Watanzania wasishabikie mtindo huu.
 
Angalu Mzee Ruksa aliwahi kuwa anakutanana na wananchi wenye shida pale makao Makuu ya CCM kila mwezi na kuwaagiza maafisa husika kufuatilia. Lakini hata yeye hii ilimshinda baadaye kwa sababu wananchi tulikuwa tunaelezwa nani katoa shida ipi na afisa mfuatiliaji ni nani ambao baadaye walimuangusha Mzee Ruksa kwa kushindwa kutatua. Kuliko kuonekana Msanii, Mzee Ruksa aliachana na mtindo huo.

Haya mazungumzo ya JK na wananchi kwa kupitia simu ya mkononi ni usanii wa hali ya juu kwani wananchi hatujui ni kipi kinazungumzwa. Inawezekana ikawa ni masuala ya utani tu na kukaribishana kipaimara au mabinti wa Kizaramo kuchezwa.

Walau basi angekuwa anarekodi hayo mazuynmgumzo na kuyatangaza redioni - tujue kinachozungumzwa na ndipo tutajua kuwa Muungwana yuko serious na shida za wananchi!.
 
sijui hata washauri wa kisayansi hana make simu hiyo ni digital na inatumia radio active waves ambazo pia unaweza tuma hata bomu likamlipukia!
 
Namba nzuri saana kwa mtu aliye na matatizo ya kumbukumbu! VERY GOOOOOD!
 
Kwani muungwana kuwa ni simu ni kosa ?na wewe alikulazimisha umpigie? Jamani tuwe fair angalao kidogo,tusiponde tu kila siku , ina maana hakuna jema hata moja alioufanyia umma huu?
 
Wakati Nyerere alikuwa akitumia muda mwingi kusoma na kuandika vitabu na makala za kisomi baada ya kutumia kichwa kufikiri sana, huko tunakoelekea ni kubaya zaidi kwa kuwa tumennza kupata viongozi wasiotumia hata chembe ya muda kufikiri kisomi juu ya dhamana walizonazo kitaifa, ni kizazi cha kushinda kwenye "online games" na "chatings" za sms. Ni kizazi kinachotegemea zaidi mawazo ya wengine kuendesha fkrra zao kwa kusikia kupitia vyombo vya habari na udaku.

Ninaomba mkuu yeyote anayefahamu kitabu au hata kijarida alichoandika mkuu wetu wa nchi anifahamishe ili nipate kukisoma. Nimejitahidi kufahamu misimamo na vision yake kwa kumsikiliza hotuba na matamko yake kwa kweli sijafanikiwa. Labda nikisoma machapisho yake nitaweza kumfahamu zaidi.
 
nimeijaribu and the answer was: NAMBA UNAYOPIGA HAIPATIKANI KWA SASA TAFADHALI JARIBU TENA BAADAE.
 
Haya mambo ya simu bwana, unaweza kukaa kusubiri simu na ukapata simu za "naomba hela ya sox" au kama huyu dogo hapa chini kwenye youtube:
 
Last edited by a moderator:
Kwani muungwana kuwa ni simu ni kosa ?na wewe alikulazimisha umpigie? Jamani tuwe fair angalao kidogo,tusiponde tu kila siku , ina maana hakuna jema hata moja alioufanyia umma huu?

Hatupingi yeye kuwa na simu, lakini tunachosema kuruhusu watu kumpigia ni the cheapest popularity a Head of State can indulge in. Angalau mazungumzo ya namna hii yawe broadcsated -- kama vile alivyofanya about two years back -- ili umma wote usikie majibu yake - kama yana masilahi ya taifa kwa ujuma wake au utumbo mtupu.
 
Back
Top Bottom