Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

KATIBU wa CCM wa Wilaya ya Tarime, Livingstone Lusinde, amelalamikia viongozi wa chama hicho wilaya ya Chamwino, Dodoma kumruhusu mbunge wa Mtera, John Malecela 'kukampeni' kabla ya wakati...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Inasemekana kuwa Kampeni za ubunge zimeanza kwa mbunge wa jimbo la Monduli kugawa tisheti makanisani. Ilikuwa jumapili ya tarehe 21/3/2010 niliposhikwa na butwaa kuona Lowasa, mkewe Rejina na...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Ninajiuliza kila siku, hasa baada ya mwenendo wa Mrema kutokueleweka kisiasa. Kuanzia pale alipoamua kuwa upande wa CCM wakati wa Msiba wa Marehemu Chacha Wangwe, na kuwa kinyume na Chadema...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
President Jakaya Kikwete President Jakaya Kikwete left for Namibia yesterday afternoon for a three-day state visit during which, among other things, he is scheduled to attend the...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nimepokea habari hizi za unyeti wa ndugu yetu Dr. Aziz Ponary Mlima ambaye nusura aukwae ubalozi wetu kwenye mojawapo ya nchi za Scandinavia. Bahati mbaya (sijui ni kwake au kwa nchi) ni kuwa...
0 Reactions
138 Replies
20K Views
Chanzo muhimu cha maji kwa wakazi wa Manispaa ya Arusha kimefungwa. Chanzo hicho chenye uwezo wa kutoa lita za maji 110,000 ( Mita za ujazo 110) kwa saa kimefungwa baada ya maji yanayotoka hapo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mwalimu Samwel Nyamsangya, wa Shule ya Msingi Saranga iliyopo Kimara Temboni, jijini Dar es Salaam, akiwafundisha wanafunzi 200 wa darasa la pili jana huku wakiwa wameketi chini kutokana na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Licha ya kuongoza Afrika Mashariki, Tanzania inashika nafasi ya 12 katika ya nchi 50 za barani Afrika na nafasi 97 duniani kati ya mataifa 167. (Nukuu gazeti la mwananchi leo). Pamoja na mbembwe...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
NI MARA TATU YA WIZI WA EPA; DCI MANUMBA ASEMA TAARIFA ZINAFANYIWA KAZI Ramadhan Semtawa WATU wasiofahamika wameghushi nyaraka za malipo na kuiba zaidi ya Sh300 bilioni katika benki tatu...
0 Reactions
71 Replies
9K Views
Vice President Dr Ali Mohammed Shein addresses the 28th Southern African Power Pool Executive Conference in Dar yesterday. With him (from-R) are Energy and Minerals minister William Ngeleja and...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Jamii inaongozwa na ujumla wa mifumo na taratibu zinazoathiriwa na belief systems ( imani za kidini, mila, desturi, haki na uhuru wa kujieleza au kudai haki etc). Nchi nyingi hasa za Kiafrika...
1 Reactions
89 Replies
10K Views
Hospitali ya Muhimbili inategemewa na watu wengi na kutokana na umuhimu wake imekuwa ni hospitali ya rufaa si kwa mtindo wa kawaida bali pia kwa magonjwa ambayo yangeweza kuhudumiwa katika...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
The president, Jakaya Kikwete, will retain his personal popularity in the final months of his first term, despite slower economic growth, continued corruption scandals and high inflation. The...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wadau, Sheria mpya iliyosainiwa kwa mbwembwe ndiyo hiyo. Bado utekelezaji wake, maana Watz kwa kutunga Sheria hatujambo! http://www.parliament.go.tz/Polis/PAMS/Docs/6-2010.pdf
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Ni Takribani miaka 5 toka Rais Jakaya Kikwete aingie madarakani. Swali langu ni..ametumiaje elimu yake kuendeleza taifa?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mpaka sasa sijaona ishara zozote za JK kushindwa uchaguzi..Je kama kutolewa kifanyinye nini?Ajitokeze mtu ndani ya CCM au upinzani waungane kuwa na nguvu moja? Je kwa wabunge na Madiwani...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani naomba michango yenu nchi inapoelekea sijui, uchumi hauna muelekeo, ,maisha magumu ....
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Official blames CITES' rejection of bid to sale 100 tonnes of tusks on misinformation. Photo/FILE By XINHUA Wednesday, March 24 2010 Tanzania is...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Tumesoma kwa mshangao na masikitiko makubwa habari iliyochapishwa jana, Jumatano, Machi 10, 2010, katika ukurasa wa kwanza wa Gazeti la Tanzania Daima chini ya kichwa cha habari “JK ageuzwa...
0 Reactions
68 Replies
8K Views
Na Lula wa Ndali Mwananzela (Raia Mwema) President Kikwete and King Mswati III at a SADC meeting in Swaziland. Photo/FILE SAUTI zao zinazidi kupaa na mlio wake unazidi...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Back
Top Bottom