Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katika hali hii ya kiuchumi ambayo imeathiri Marekani na dunia nzima vile vijisenti vilivyodaiwa vina umuhimu mkubwa kwa Tanzania kutokana na safari za JK kwenda kuombaomba nchi mbali mbali hasa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
08.10.2008 @01:39 EAT Police: Chadema has declared war on us By Mussa Juma, Tarime THE CITIZEN Police in Tarime yesterday defended the use of rubber bullets and tear gas to disperse...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tarime waiadhibu CCM, kwa niaba ya Taifa! Lula wa Ndali-Mwananzela Oktoba 8, 2008 Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo SIJUI kitabu wanachotumia Chama cha Mapinduzi (CCM) kushinda uchaguzi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Date::10/7/2008 Mgomo wa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini waandaliwa Na Jackson Odoyo Mwananchi UMOJA wa Vyuo Vikuu nchini (Tahiliso) umepanga kufanya mgomo wa wanafunzi wa vyuo vikuu vyote...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kuna habari kuwa rc wa mbeya amewaita wafanyakazi walioko chini yake akiwaonya wajiepushe kumsema rais wa awamu ya tatu bwana mkapa kwa kuwa watamletea shida, mama ana mkapa anatuhumiwa kuuziwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nikiwa njiani kuelekea Tarime, naomba kutoa rambi rambi kwa kifo cha Wakili Ndyanabo. Namkumbuka marehemu kama mmoja wa wakazi wa jimbo la Ubungo aliyekuwa mstari wa mbele kutetea demokrasia...
1 Reactions
63 Replies
13K Views
Kila mara hupenda kufanya reality check kujua kama ninalofanya ni sahihi au si sahihi, kama ninayoyapanga yanatimilika au hayatimiliki. Leo naomba nifanye reality check ya Jamii yetu JF, je...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nimeiona hii picha na kuanza kujiuliza maswali mengi ambayo nashindwa pa kuanzia. Nimebakiwa na moja tu WAFANYEJE AU TUFANYEJE?
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Tambwe atishia CHADEMA na Kulwa Karedia CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimetoa siri ya kuwapo mpango wa kukamatwa viongozi wa juu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa kuhusishwa na...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Jipatie nakala yako hapa chini.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Napenda kuwapongeza ITV kwa kazi nzuri ya kufichua rushwa inayoliwa na Polisi wa Trafiki. Aidha napenda kumpongeza Jerry Muro kwa kuwa imara na kwa namna ya kipekee alivyofanikisha kuchukua vema...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Kwa wana JF ambao hawajabahatika kuona matokeo hayo. Nimeona niwaleteeni humuhumu ndani ya nyumba. Nimeyashikiza(Attach)katika pdf format kwa urahisi wa kusoma. Kazi kwenu
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Abiria wako kwenye ndege ambayo imetekwa nyara na wahudumu (Flight Attendants) wa ndege hiyo. Wahudumu hao wakishirikiana na kapteni (au pengine wamemrubuni kapteni) wamefanikiwa kuiteka ndege...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Maana huyu mama naye jina lake limo katika waliochukua shilingi bilioni 133 za EPA. Mke wa Ballali arejea na Mwandishi Wetu TAnzania Daima~Sauti ya Watu HATIMAYE mke wa aliyekuwa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
A chance to crack down on Africa's loot-seeking elites A silver lining in this grim economic cloud is an opportunity to clean up the banks and halt the corrupt capital flight Paul Collier...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Date::10/4/2008 Hatima ya mafisadi wa EPA yakaribia ukingoni Na Ramadhan Semtawa HATIMAYE siku za kubaini mbivu na mbichi kwa kujulikana hatma ya mafisadi walioza zaidi ya sh 133 bilioni...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Yeah! Keep on dreaming. Maybe in the year 3050 when all mafisadis, their children, grand children and great grand children are dead!!! Good governance in Tanzania? Lusekelo Daily News...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Katika hali isiyo ya kawaida na ya kushangaza juzi siku ya juma tano (Eid) maeneo ya tabata relini hapo pembeni ya ofisi za MWANANCHI COMUNICATION nilikuta ajali ambayo ilihusisha magari mawili...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Msaidizi wa Nchimbi ajiengua adai amedhalilishwa Na Musa Juma, Tarime JINAMIZI la tuhuma za ufisadi alizoibua mjumbe wa Halmasharui Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Nape Nnauye ndani ya Umoja...
2 Reactions
50 Replies
8K Views
Date::10/4/2008 Wananchi wapongeza trafiki wala rushwa kuonyeshwa kwenye televisheni Na Waandishi Wetu Mwananchi TAARIFA za kusimamishwa kazi kwa askari polisi wa kikosi cha usalama...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom