na kibaya zaidi wanaficha hawataki kusema ni amount gani....wanaogopa wafata upepo wasishtuke..kaaaazi kweli kweli!!"The Tanzanian Football federation admits to paying several million dollars to persuade Brazil to play the Taifa Stars"
Safari bado ni ndefu kwa nchi hii kwa kweli! Ila tactic nzuri kwa uchaguzi!
kama wamelipa Tsh 400m, wategemee kupata faida ya Tsh 200m, kwa sababu mpaka sasa records zinaonesha mapato ya juu ya ule uwanja si zaidi ya Tsh 700m, hivyo tuangalie biashara wanayotaka kucheza.
The Tanzanian Football federation admits to paying several million dollars to persuade Brazil to play the Taifa Stars"
kama wamelipa Tsh 400m, wategemee kupata faida ya Tsh 200m, kwa sababu mpaka sasa records zinaonesha mapato ya juu ya ule uwanja si zaidi ya Tsh 700m, hivyo tuangalie biashara wanayotaka kucheza.
na kibaya zaidi wanaficha hawataki kusema ni amout gani....wanaogopa wafate upepo wasishtuke..kaaaazi kweli kweli!!
Several million dollars! Wamezitoa wapi?"The Tanzanian Football federation admits to paying several million dollars to persuade Brazil to play the Taifa Stars"
Safari bado ni ndefu kwa nchi hii kwa kweli! Ila tactic nzuri kwa uchaguzi!
Several million dollars! Wamezitoa wapi?
Nimejikuta nacheka tuwafadhiri hujui
Brazil!!! -- Tanzania!! Respective economies are a world apart!!! Kweli Mwenye nacho hujiongezea na asonacho hupunguziwa! Tena kwa asonacho hii inajileta yenyewe tu -- kwa hiari!