Ninaitwa Bandora ni kijana niliye tayari kwa kulitumikia taifa langu....Baada ya kutafakari kwa mda mrefu juu ya namna ya kulitumikia taifa hili nikaona njia iliyo rahisi na wazi ni kupitia nafasi ya Ubunge.
Sababu kuu ni:
...Kwanza ninasifa zinazo takiwa kuwa mbunge.
...pili ni naamini ili kuwa mbuge huhitaji mtaji maana mbunge anachaguliwa na wananchi.
...Tatu ninaamini mwaka huu ni mwaka wa vijana kushika hatamu.
....Nne na mwisho mimi siyo fisadi wala sina historia hiyo na sitegemei kuwa fisadi.
Majimbo:Majimbo ninayo hitaji na ninayoona ninaweza kushinda bila kutumia fedha zozete ni:-
1.BUSANDA
2.ARUSHA MJINI
3.BUKOMBE
4.GEITA MJINI
5.KINONDONI
6.SENGEREMA
Ninacho hitaji:
Kwanza ninaomba wana jm mnisaidie kuchagua jimbo kati ya hayo niliyo yaorozesha hapo juu.
Pili ninaomba mnisaidie kuchagua chama ambacho mnadhani ninaweza kushinda kwa urahisi na bila matatizo .
Mwisho
Nimatumaini yangu kuwa mmtanipa maoni na ushauri ambao utapelekea mimi kuwa mbunge mwaka huu...
Sababu kuu ni:
...Kwanza ninasifa zinazo takiwa kuwa mbunge.
...pili ni naamini ili kuwa mbuge huhitaji mtaji maana mbunge anachaguliwa na wananchi.
...Tatu ninaamini mwaka huu ni mwaka wa vijana kushika hatamu.
....Nne na mwisho mimi siyo fisadi wala sina historia hiyo na sitegemei kuwa fisadi.
Majimbo:Majimbo ninayo hitaji na ninayoona ninaweza kushinda bila kutumia fedha zozete ni:-
1.BUSANDA
2.ARUSHA MJINI
3.BUKOMBE
4.GEITA MJINI
5.KINONDONI
6.SENGEREMA
Ninacho hitaji:
Kwanza ninaomba wana jm mnisaidie kuchagua jimbo kati ya hayo niliyo yaorozesha hapo juu.
Pili ninaomba mnisaidie kuchagua chama ambacho mnadhani ninaweza kushinda kwa urahisi na bila matatizo .
Mwisho
Nimatumaini yangu kuwa mmtanipa maoni na ushauri ambao utapelekea mimi kuwa mbunge mwaka huu...