Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

WAKIMALIZA WATUELEZE Wakati kampeni za uchaguzi mdogo wa Tarime ulipoanza kushika kasi chama tawala kilitoa makadirio yake na fedha ambazo watatumia katika uchaguzi huo ilikadiriwa kama...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Unajua nani alianzisha na kulipeleka wazo la Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ? Katika pekua pekua zangu kwenye majalala ya historia zinakokaa historia takataka za watu maarufu ambao hawako...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu sana kwanini watendaji wengi Serikali hawakai katika ofisi zao ili kusukuma gurudumu la maendeleo?Mara nyingi wanaingia na kusign attandance kisha wanaenda...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Na. M. M. Mwanakijiji (Tanzania Daima) MARA baada ya Rais Kikwete kumaliza kuhutubia hotuba yake iliyokuwa inangojewa kwa hamu na Watanzania, nilijikuta katika mawazo yangu yaliyopotoka...
0 Reactions
70 Replies
13K Views
Helikopta za CCM na Chadema zaleta maafa Makubo Haruni, Tarime Daily News; Thursday,October 09, 2008 @20:02 WATU watano wamelazwa baada ya kukatwa mapanga katika ugomvi wa kugombea uwanja...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Date::10/10/2008 CUF: Kikwete asibweteke kama Musharraf Salim Said na Edson Kamukara Mwananchi CHAMA cha Wananchi (CUF) kimemtaka Rais Jakaya Kikwete asibweteke na sifa anazomwagiwa na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna habari ambazo hazijathibitishwa ambazo zinasema kwamba 'Mwekezaji wa Kimarekani" ameamuru ng'ombe wauawe na Land Cruiser huko Sengerema hatima yake ndiyo hao ng'ombe 65 kuuawawa. Kama kuna...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
09.10.2008 0025 EAT Korti yazuia EWURA kudhibiti 'ufisadi' Na Ramadhan Libenanga, Morogoro Majira MAMLAKA ya Usimamizi wa Nishati, Madini na Maji (EWURA), imezuiwa kufunga vituo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana JF, Nadhani wengi wetu tumeshawahi kukumbwa na mateso au adha na karaha zilizotokana na majaribio ya wanasiasa na viongozi wetu toka tupate uhuru hadi leo. Nadhani kama tungepata wasaa wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
HIVI leo kina Masanja, Joti, Mpoki na wenzao wanaanza KUTUMIWA na Tanganyika Broadcastinga Corporation katika medali ya kejeli na vichekesho. Tofauti na walivyokuwa wakiigiza katika...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
UPEMBUZI unaonesha kwamba marais Kabila na Kikwete ndio wanaoongoza Afrika kwa kutoa ahadi zisizotimizwa. Kabila aliahidi kuunganisha nchi; kupiga vita wizi wa madini; kuwaondoa askari mamluki...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa lakini ni mfuatiliaji wa masuala ya siasa na ni mwanademokrasia na ni muumini katika haki na usawa na napenda kuona wanasiasa na vyama vyotevya siasa...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Tanzania itajengwa na watu wenye moyo. Elimu ni ufunguo wa Maisha. Akili ni nywele, kila mtu anazo. Elimu ni bahari, haina mwisho. Tuna wasomi, lakini hawajaelimika- Ali Hassan Mwinyi 2008...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
MAMIA ya askari wa FFU na magari yaliyomwagwa majiani hivi sasa (asubuhi hii) inaonesha kama vile Tanzania inayodaiwa kuwa kisiwa cha amani Afrika ghafla bin vuu imegeuka Soweto au Guguletu...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
VIVA UDA! In this day and age when private bus operators and schoolchildren appear to be at constant loggerheads, the erstwhile state-owned commuter bus company seems ever-ready to put social...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
EDITORIAL: The war against corruption in Tanzania losing steam fast? EDITOR DAR ES SLAAM THE corruption cankerworm tearing our country’s social fabric apart has reached such grave...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
HIVI leo kina Masanja, Joti, Mpoki na wenzao wanaanza KUTUMIWA na Tanganyika Broadcastinga Corporation katika medali ya kejeli na vichekesho. Tofauti na walivyokuwa wakiigiza katika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Lipumba aishangaa IMF MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amelishangaa Shirika la Fedha Duniani (IMF), kummwagia sifa, Rais Jakaya Kikwete, kwa jinsi...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Power shedding is back 2008-10-08 13:30:10 By Guardian Reporter The Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) has announced fresh load shedding countrywide following yesterday`s collapse...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Haya jamani thats what Mo Ibrahim would like us to belive! Kungekuwepo na Index ya Usanii in Governance, then Tanzania ingekuwa nambari wani. But not one!!! jisomeeni wenyewe! Ibrahim Index of...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom