Wakati huu kwa kuwa chama cha mafisadi CCm na serikali yake wanaanza wizi mwingine kupitia ziara eti wanaenda kuwaeleza wananchi ni nini wamewaibia, nawaomba viongozi wa CHADEMA chapisheni vijarida vyenye picha kama hii na zingine na ninyi mzunguke kuwafungua macho wananchi.
View attachment 10657
Picha: Wamama waliojifungua wakiwa wamekaa chini ktk hospitali ya mwananyamala
View attachment 10657
Picha: Wamama waliojifungua wakiwa wamekaa chini ktk hospitali ya mwananyamala