Tonge
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 695
- 12
KATIKA kile kinachoonekana ni kujipanga vema na kujihami kwa maswali magumu wakati wa kampeni za uchaguzi, Ikulu imetoa waraka wa kuzuia mawaziri kusafiri nje na badala yake kuwaagiza kuzunguka mikoani kuelezea mafanikio ya serikali ya awamu ya nne.
Waraka huo, ambao umepewa jina la "Mlitutuma, Tumetekeleza, Tumerudi Kuwaelezeni Tulivyotekeleza na Kuwasikilizeni", pia unawaagiza mawaziri kukutana na watu wa aina mbalimbali kwenye ziara hizo, wakiwemo viongozi wa dini na viongozi wa vyama vya wafanyakazi.
-Haya ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kabisa kwa sababu sioni watacho ongea huko mikoani kwani hawana walichofanya.
-Sisi wafanyakazi hatuwataki hata kuwaona kwani tulishaambiwa na muajiri wetu mkuu kuwa hanihitaji kura zetu ili awe rais, sasa watuache tuamue cha kufanya wakati ukifika.
-Waende kuongea na wazee wa kila mkoa kama JK alivyofanya ILI WAPIGIWE MAKOFI NA VIGELEGELE, WAKIJA KWETU TUNAWAKIMBIZA.
JAMANI JAMANI TUMECHOKA, SISIWANANCHI TUKISEMA UOZO WA SERIKALI, MAWAZIRI WANAKAA KIMYA ILA DEVELOPMENT PARTNERS WAMESEMA MAMBO MAKUU MATATU KAMA KASI NDOGO YA KUSHUGHULIKIA UFISADI, KUSHINDWA KWA SERIKALI KUPANDISHA UCHUMI NA MATUMIZI MABAYA YA SERIKALI NA KUSHINDWA KUSIMAMIA HELA ZA SERIKALI WAZIRI WA FEDHA ANAHAHA NA ANAANDAA TAARIFA.JE KIPI HAO MAWAZIRI WATAENDA KUWAAMBIA WANANCHI WAKATI TAYARI HATA WAGENI WANAJUA KUWA SIO WAADILIFU?
Mkereketwa.:rip:
Waraka huo, ambao umepewa jina la "Mlitutuma, Tumetekeleza, Tumerudi Kuwaelezeni Tulivyotekeleza na Kuwasikilizeni", pia unawaagiza mawaziri kukutana na watu wa aina mbalimbali kwenye ziara hizo, wakiwemo viongozi wa dini na viongozi wa vyama vya wafanyakazi.
-Haya ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kabisa kwa sababu sioni watacho ongea huko mikoani kwani hawana walichofanya.
-Sisi wafanyakazi hatuwataki hata kuwaona kwani tulishaambiwa na muajiri wetu mkuu kuwa hanihitaji kura zetu ili awe rais, sasa watuache tuamue cha kufanya wakati ukifika.
-Waende kuongea na wazee wa kila mkoa kama JK alivyofanya ILI WAPIGIWE MAKOFI NA VIGELEGELE, WAKIJA KWETU TUNAWAKIMBIZA.
JAMANI JAMANI TUMECHOKA, SISIWANANCHI TUKISEMA UOZO WA SERIKALI, MAWAZIRI WANAKAA KIMYA ILA DEVELOPMENT PARTNERS WAMESEMA MAMBO MAKUU MATATU KAMA KASI NDOGO YA KUSHUGHULIKIA UFISADI, KUSHINDWA KWA SERIKALI KUPANDISHA UCHUMI NA MATUMIZI MABAYA YA SERIKALI NA KUSHINDWA KUSIMAMIA HELA ZA SERIKALI WAZIRI WA FEDHA ANAHAHA NA ANAANDAA TAARIFA.JE KIPI HAO MAWAZIRI WATAENDA KUWAAMBIA WANANCHI WAKATI TAYARI HATA WAGENI WANAJUA KUWA SIO WAADILIFU?
Mkereketwa.:rip: