Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,323
- 6,810
Ninatatizika na tangazo moja hivi la tume ya uchaguzi linalosisitiza watanzania kujitokeza kuchagua viongozi, linasisitiza wananchi wachague viongozi wanaowataka.......
Mimi naona sio sahihi kuchagua kiongozi unayemtaka tu, kwani inaweza kuwa unamtaka sababu kakupa Tshirt, kanunulia chakula, au kwa ujumla kakuhonga ili umuone anafaa...lakini ni fisadi mkubwa au/na hafai kuwa kiongozi kabisa.
Naamini sahihi ni kuchagua kiongozi bora...if posiible warekebishe ianaweza kuwapotosha wananchi.
Mimi naona sio sahihi kuchagua kiongozi unayemtaka tu, kwani inaweza kuwa unamtaka sababu kakupa Tshirt, kanunulia chakula, au kwa ujumla kakuhonga ili umuone anafaa...lakini ni fisadi mkubwa au/na hafai kuwa kiongozi kabisa.
Naamini sahihi ni kuchagua kiongozi bora...if posiible warekebishe ianaweza kuwapotosha wananchi.