muheza2007
JF-Expert Member
- Mar 19, 2010
- 483
- 771
Watabiri wengine mnasemaje? Mwenzetu kwa kutabiri ujinga ujinga, anapata kila aina ya misaada toka kwa viongozi wetu.
Anaongea na waandishi wa habari.Source pls!!!!!!!!!!!!!!!!!
Zachary Kakobe amelalamikia uzushi mzito uliozushwa kuwa alisema kuwa umeme huo hautawaka utakapokamilika.Kakobe ye alisema umeme utakaopitishwa kwenye zile nyaya zilizosababisha mabango yake yakatolewa hautowaka. Yangu macho
Mzee Max hapa siyo siri imebidi kusogeza dictionary yanguNa ule utabiri wa kuwa Wanaompinga JK watakufa ulifutika? Hivi ugonjwa wa Alzheimer ulimuanza lini huyu mnajimu?
Au amesha anza kupagawa na mental disorder characterized by abnormalities in the perception or expression of reality inayoitwa Schizophrenia, imeshaanza kumpata huyu.
Sasa anakuwa na auditory hallucinations, paranoid or bizarre... AU ndio delusions zilizo na occupational dysfunction?
mbona ajawahi kutabiri kumegewa mkewe kale cheupe chake!!!
ama mpaka wamwage radhi watu hadharan ndio atatabiri
tushamchoka na yeye!!!!Asubiri kwenda kusali kwa GWAJIMA UFUFUO NA UZIMA