William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Wakuu JF heshima mbele sana, According to the dataz nilizozinasa sasa hivi, ni kwamba Mwenyekiti wa CCM taifa ameitisha vikao vya dharura, yaani Kamati Kuu ya CCM Tarehe 28/3/10 na kingine cha NEC Tarehe 8/4/10 na kwamba ameamuru vikao vyote vifanyike Dar, Karimjee Hall,
- Kinachotisha hapa according to the dataz ni agenda ya hiyo mikutano miwili muhimu ambazo inasemekana anazo yeye mwenyewe kinyume na kawaida ya kutayarishwa na Katibu Mkuu, ambaye inaelezwa aliachwa solemba na Mkulu, alipojaribu kuitisha Secretariat ili ku-set agenda ya hivi vikao!
- Tayari kuna viongozi wameanza kuingiwa na homa kali kuhusiana na hii dharura, ambayo inaaminika kwamba kuna la mgambo nyuma yake kutokana na lugha ya ukali aliyoitumia Mkulu! Hali ya hewa ikitulia nitamwaga some more dataz sasa hivi noma, aahhggrr JF Where we dare mwanangu!
Respect.
Field Marshall Es = Wazee Wa Sauti Ya Umeme!
- Kinachotisha hapa according to the dataz ni agenda ya hiyo mikutano miwili muhimu ambazo inasemekana anazo yeye mwenyewe kinyume na kawaida ya kutayarishwa na Katibu Mkuu, ambaye inaelezwa aliachwa solemba na Mkulu, alipojaribu kuitisha Secretariat ili ku-set agenda ya hivi vikao!
- Tayari kuna viongozi wameanza kuingiwa na homa kali kuhusiana na hii dharura, ambayo inaaminika kwamba kuna la mgambo nyuma yake kutokana na lugha ya ukali aliyoitumia Mkulu! Hali ya hewa ikitulia nitamwaga some more dataz sasa hivi noma, aahhggrr JF Where we dare mwanangu!
Respect.
Field Marshall Es = Wazee Wa Sauti Ya Umeme!