Wadau,
Serikali ipo katika mchakato wa kuandika MKUKUTA na karibuni rasimu itatotlewa kwajili ya kupokea maoni ya wadau.
Nimeambatanisha rasimu ya kwanza inayoonyesha maeneo ya kipaumbele kwenye MKUKUTA 2010 - 2015.
Nini maoni yako?
Nitaendela kuwapa taarifa zaidi kadri zinapotoka ili tuweze kuepika mchakato huu
kwa taarifazaidi na kushiriki moja kwa moja tembelea
http://www.policyforum-tz.org/node/7145
Serikali ipo katika mchakato wa kuandika MKUKUTA na karibuni rasimu itatotlewa kwajili ya kupokea maoni ya wadau.
Nimeambatanisha rasimu ya kwanza inayoonyesha maeneo ya kipaumbele kwenye MKUKUTA 2010 - 2015.
Nini maoni yako?
Nitaendela kuwapa taarifa zaidi kadri zinapotoka ili tuweze kuepika mchakato huu
kwa taarifazaidi na kushiriki moja kwa moja tembelea
http://www.policyforum-tz.org/node/7145