Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mheshimiwa Waziri mkuu wa Tanzania Bw Mizingo Pinda alitamka hayo alipokua akijibu maswali ya viongozi wa jumuia mbalimbali za Watanzania waishio Uingereza. Mkutano huo ulifanyika katika ofisi za...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Kuna viongozi ambao kwa kweli kwa kuwaangalia angalau unaona wanaweza kuibadilisha nchi kama tu watakuwa na ujasiri wa kujitoa kwenye CCM, Kama alivyosema Rais Nyerere, Upinzani Halisi utatoka...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Taarifa Kuwa mujibu wa Clouds FM (Jahazi) leo 25.05.2010: Kuna mwandikishaji wapiga kura katika eneo la Baruti shule ya msingi Kimara Baruti - Dar es salaam amekamatwa na anashikiliwa na polisi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Na Pamela Chilongola, Mwananchi UONGOZI wa Mkoa wa Dar es Salaam juzi ulitengeneza barabara ya Kagera hadi Madoto iliyoko maeneo ya Mburahati usiku, kwa ajili ya ziara ya rais Jakaya Kikwete...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
tangu kijana mpambanaji kupitia chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kutangaza nia ya kumng'oa mwanasiasa mzee bw samwel malecela. hali ya mzee huyo imezidi kuwa mbaya kisiasa kiasi cha hivi...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Sitaki kusahau issue ya muhimu eti kisa Liyumba kaenda jela miaka miwili,hukumu gani hii inayohamasisha wizi wa mali za umma yaani ni nani ataogopa kuiba zaidi ya bilioni 200 kwa kwenda jela miaka...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Leo mahakama kuu ya kenya imetoa hukuma inayozipiga marufuku mahakama za kadhi huko kenya...katika kusoma wa kina nimevutiwa sana na maelezo ya chanzo cha kuwapo mahakama za kadhi .... Inaelezwa...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
RAIS mstaafu wa awamu ya pili, mzee Ali Hassani Mwinyi, maarufu kama Mzee Ruksa amesema kuwa hakuikandia serikali ya awamu ya nne wala kuihusisha na kukithiri kwa rushwa kwa kuwa rushwa ilianza...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wadau, miaka 5 ya kwanza awamu ya Rais Kikwete iko ukingoni. Kila kiongozi hupimwa na mazuri na mabaya yake ili aweze kuaminiwa na kupewa kipindi kingine cha uchaguzi. Viongozi wa Taifa letu tangu...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
KWELI MWAKA WA UCHAGUZI UNA MAMBO YAKE. JANA NIMEMSIKIA NAPE AKIELEZA NIA YAKE YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA UBUNGO HUKU AKIMPIGA VIJEMBE SHAMSA, NAPE ANAKUWA MWANACCM WA TATU (SHAMSA, ALFRED...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
1.dr slaa maji barabara vitongoji mpaka vijiji, 2, desamburu, mji kuwa msafi na wananchi kuwa na uelelwa wa mazingira yao, 3. wananfunzi wa masekondari kusoma buree kutokana na rasilimali za eneo...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Kule mtaa wa pili(Michuzi) kuna habari kuwa Liumba amepatikana na hatia na kuhukumiwa miaka 2 jela kwa matumizi mabaya ya ofisi. Wadau hii nayo imekaaje?
0 Reactions
122 Replies
14K Views
Kikwete atatembelea maeneo mbalimbali ya Dar kesho kuangalia matatizo ya maji yanayowakabili wananchi. Huu ni mwaka wa nne wa utawala wake na hatimaye amegundua Watu wa Dar wanamatatizo ya maji...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
The heading of this topic is a very interesting phrase and speaks volumes about the attitude of Tanzanians as a whole. We keep making the same mistakes everyday and everyday we give it the same...
0 Reactions
22 Replies
8K Views
Dini plus Siasa = HAPANA Siasa plus Dini = NDIYO NILIKUWA nimekaa mbele ya Kompyuta yangu nikiharii safari ya Mheshimiwa hendisamu kule USA, nilipojiwa na jamaa yangu ambaye alikuja kunitaka...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MAHALI popote duniani ambapo ufisadi umeshamiri, basi, gharama yake halisi hulipwa na maskini na matajiri waadilifu. Kwa kiasi kikubwa jamii ikikubali kuishi katika mfumo wa utawala wa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
ASKARI polisi na askari magereza hawataki kufanya maandamano na migomo kudai serikali iwasikilize na kuwalipa mishahara inayolingana na kazi yao. Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Khamis Kagasheki...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
And yet some guys think, tukiambiwa tumegubikwa na imani za kishirikina tunasingiziwa! Have a look on this one! Saturday, 22 May 2010 13:00 NI WALIOKUTWA NA VIUNGO VYA BINADAMU, MKUU WA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika pita pita.. nimekutana na hii, nadhani inatoka kwenye commercial fulani popular.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…