Tumekagua hoteli, uwanja na kila aina ya utaratibu kwa ajili ya timu, tumeridhika na ndiyo maana tumeingia mkataba, alisema. Brazil watafikia hoteli hiyo ya Movenpick.
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi, Shukuru Kawambwa (Waziri wa Miundombinu) alisema ujio wa timu hiyo ni historia kwa Tanzania na faraja kwa mashabiki wa soka nchini.
Akizungumzia mchezo huo, Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Rais ya Masoko, Teddy Mapunda alisema ujio wa Brazil si tu utakuwa burudani, bali pia utasaidia kufundisha soka Watanzania hasa timu za soka. Mchezo huo utaonyeshwa pia na televisheni mbalimbali za hapa nchini.
Source: Mwananchi
My quote: Huu ujio kwanini unahusishwa na wizara ya miundombinu badala ya wizara husika ya michezo au(mjomba) Kawambwa ana nyadhifa mbili?
"Moringe wote ni wamasai lakini sio kila mmasai ni Moringe"
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi, Shukuru Kawambwa (Waziri wa Miundombinu) alisema ujio wa timu hiyo ni historia kwa Tanzania na faraja kwa mashabiki wa soka nchini.
Akizungumzia mchezo huo, Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Rais ya Masoko, Teddy Mapunda alisema ujio wa Brazil si tu utakuwa burudani, bali pia utasaidia kufundisha soka Watanzania hasa timu za soka. Mchezo huo utaonyeshwa pia na televisheni mbalimbali za hapa nchini.
Source: Mwananchi
My quote: Huu ujio kwanini unahusishwa na wizara ya miundombinu badala ya wizara husika ya michezo au(mjomba) Kawambwa ana nyadhifa mbili?
"Moringe wote ni wamasai lakini sio kila mmasai ni Moringe"