Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Chama cha mwamko mpya wa ujenzi wa taifa CCJ kinaanza harakati za kukutana na kuzungumza na wananchi katika kujitambulisha zaidi kwa wananchi wakati kinaendelea kusubiri usajili wa kudumu. Hadi hivi sasa maelfu ya Watanzania wameamua kujiunga na chama hiki ambacho hakina "jina kubwa" na ambacho viongozi wake "hawana majina makubwa" katika medani za siasa nchini.
Katika siku chache zijazo CCJ itapita kusalimiana na kukutana (meet and greet tour) wananchi katika sehemu mbalimbali za Tanzania Bara na Visiwani.
Yawezekana una maswali mengi kuhusu CCJ ni yapi hasa na ungependa hasa kujua nini?
Katika siku chache zijazo CCJ itapita kusalimiana na kukutana (meet and greet tour) wananchi katika sehemu mbalimbali za Tanzania Bara na Visiwani.
Yawezekana una maswali mengi kuhusu CCJ ni yapi hasa na ungependa hasa kujua nini?