Hali ya mambo ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), bado si shwari baada ya kuibuka mvutano wa kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa ambayo kwa sasa inashikiliwa na FREEMAN MBOWE...
Tunaitaka ifanye hivi na ifanye vile; tunaitaka isifanye hivi au isifanye vile; tunataka viongozi wake wawe hivi au vile na tumefikia mahali pa kuibebesha mizigo ya kila aina; tunailaumu kwa...
Wakati sisi tunafanya ziara za dunia kutafuta umaarufu na win win situation, huku tukiuza mashirika na viwanda kila kukicha, kijana wa Baba Josefu anaanza vitu vyake!
Miezi kadhaa nilianzisha...
HATIMAYE Waziri wa Nishati na Madini, Bw. Nazir Karamagi, amevunja ukimya dhidi ya tuhuma za ubadhilifu na ufisadi zilizotolewa dhidi yake na Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Wilbrod Slaa, na wanasiasa...
Jamani hivi nchi hii tutafika wapi?
Huyu mtoto alipata adha ya kuungua ndani ya nyumba siku nne zilizopita na kuletwa hospitali ya mkoa wa Kagera pale Bukoba mjini. Na hata sasa bado yupo...
There goes my thousand words......
"JK akisalimiana na baadhi ya madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Mbarali muda mfupi kabla ya kufungua jengo jipya la halmashauri hiyo jana. Picha zote na...
Aliyekuwa rais wa Botswana, Festus Mogae, ameshinda tuzo yenye thamani ya dola za kimarekani milioni 5 itakayohamasisha utawala bora barani Afrika.
Bw Mogae aliachia madaraka mwezi Aprili baada...
Heshima mbele,
Kwa tarifa ambazo nimezipata mchana wa leo ni kuwa,ile ndege yetu ya Air bus jana ilipata itilafu na kushindwa kutoa matairi kabla haijaruka kwenda Mwanza ,na hivyo kuwalazimu...
Kama kuna ujinga uliokubuhu na kupata PHD, ni kutoka kwa Serikali yetu na Wanasiasa wetu.
Ni vipi leo tudai Blackberry simu yenye uwezo wa kupata mtandao wa intaneti ndio iwe kichocheo cha...
Imetolewa mara ya mwisho: 21.10.2008 0004 EAT
• Rasilimali zilizopo zinavyoweza kulikomboa Taifa
Na Glory Mhiliwa
Majira
BALOZI wa Marekani hapa nchini Marc Green na...
Kiama cha mafisadi chafikia ukingoni
2008-10-20 11:29:33
Na Simon Mhina
Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk. Edward Hoseah, ametangaza kiama cha vigogo...
Christopher Nyenyembe, Mbeya
Tanzania Daima~Sauti ya Watu
WAFANYAKAZI waliopunguzwa kazi katika mgodi wa makaa ya mawe wa Kiwira (KCM), mkoani hapa mwaka 2005, wanaoidai serikali zaidi ya sh...
University don calls for lesser presidential powers
ALVAR MWAKYUSA
THIS DAY
Dar es Salaam
A UNIVERSITY of Dar es Salaam scholar, Prof. Haroub Othman, has called for reduction of the...
Dmitri Tsafendas alikuwa karani wa bunge la Afrika Kusini wakati wa utawala wa makaburu waliokuwa wanaendeleza ubaguzi wa rangi, chini ya waziri mkuu wa wakati huo Dr Verwoerd. Huyu Dr Verwoerd...
Mbowe: Kikwete ameelemewa
na Salehe Mohamed
Tanzania Daima~Sauti ya Watu
MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema Rais Jakaya Kikwete anahitaji...
Hivi mkuu wa Trafiki tuseme ndiyo hajui kinachotokea siku za Jumatatu kila wiki, mara 52 kwa mwaka katika barabara ya Buguruni-Kwa Nyerere?
Invyoelekea usalama au uchafuzi barabarani katika...
Ndugu wadau,
Hivi karibuni nimepata kupokea ujumbe huu kwenye inbox yangu toka kwa watu tofauti tofauti,nikatafakari yale yaliyomo na yale tunayojadili hapa jf,nikahisi kwamba labda kuna kuna...
JK: Watakaothibitika kuua albino kunyongwa
na Esther Mbussi
RAIS Jakaya Kikwete amesema wale wote watakaobainika na hatia ya mauaji ya maalbino nchini watakabiliwa na adhabu ya kifo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.