Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

  • Closed
Hali ya mambo ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), bado si shwari baada ya kuibuka mvutano wa kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa ambayo kwa sasa inashikiliwa na FREEMAN MBOWE...
0 Reactions
74 Replies
9K Views
Tunaitaka ifanye hivi na ifanye vile; tunaitaka isifanye hivi au isifanye vile; tunataka viongozi wake wawe hivi au vile na tumefikia mahali pa kuibebesha mizigo ya kila aina; tunailaumu kwa...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Wakati sisi tunafanya ziara za dunia kutafuta umaarufu na win win situation, huku tukiuza mashirika na viwanda kila kukicha, kijana wa Baba Josefu anaanza vitu vyake! Miezi kadhaa nilianzisha...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
  • Closed
HATIMAYE Waziri wa Nishati na Madini, Bw. Nazir Karamagi, amevunja ukimya dhidi ya tuhuma za ubadhilifu na ufisadi zilizotolewa dhidi yake na Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Wilbrod Slaa, na wanasiasa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hivi ufisadi umeingia mpaka mtandaoni hizi website ni za mtu binafsi au za taasisi fulani? esrf Economic and Social Research Foundation,ESRF
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani hivi nchi hii tutafika wapi? Huyu mtoto alipata adha ya kuungua ndani ya nyumba siku nne zilizopita na kuletwa hospitali ya mkoa wa Kagera pale Bukoba mjini. Na hata sasa bado yupo...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
There goes my thousand words...... "JK akisalimiana na baadhi ya madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Mbarali muda mfupi kabla ya kufungua jengo jipya la halmashauri hiyo jana. Picha zote na...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Je, Nchi yetu ingekuwaje kama tusingekuwa na vyama vya siasa na wagombea wote wawe binafsi? toeni maoni yenu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Aliyekuwa rais wa Botswana, Festus Mogae, ameshinda tuzo yenye thamani ya dola za kimarekani milioni 5 itakayohamasisha utawala bora barani Afrika. Bw Mogae aliachia madaraka mwezi Aprili baada...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Heshima mbele, Kwa tarifa ambazo nimezipata mchana wa leo ni kuwa,ile ndege yetu ya Air bus jana ilipata itilafu na kushindwa kutoa matairi kabla haijaruka kwenda Mwanza ,na hivyo kuwalazimu...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Kama kuna ujinga uliokubuhu na kupata PHD, ni kutoka kwa Serikali yetu na Wanasiasa wetu. Ni vipi leo tudai Blackberry simu yenye uwezo wa kupata mtandao wa intaneti ndio iwe kichocheo cha...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Imetolewa mara ya mwisho: 21.10.2008 0004 EAT • Rasilimali zilizopo zinavyoweza kulikomboa Taifa Na Glory Mhiliwa Majira BALOZI wa Marekani hapa nchini Marc Green na...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kiama cha mafisadi chafikia ukingoni 2008-10-20 11:29:33 Na Simon Mhina Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk. Edward Hoseah, ametangaza kiama cha vigogo...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Christopher Nyenyembe, Mbeya Tanzania Daima~Sauti ya Watu WAFANYAKAZI waliopunguzwa kazi katika mgodi wa makaa ya mawe wa Kiwira (KCM), mkoani hapa mwaka 2005, wanaoidai serikali zaidi ya sh...
0 Reactions
237 Replies
29K Views
University don calls for lesser presidential powers ALVAR MWAKYUSA THIS DAY Dar es Salaam A UNIVERSITY of Dar es Salaam scholar, Prof. Haroub Othman, has called for reduction of the...
0 Reactions
0 Replies
948 Views
Dmitri Tsafendas alikuwa karani wa bunge la Afrika Kusini wakati wa utawala wa makaburu waliokuwa wanaendeleza ubaguzi wa rangi, chini ya waziri mkuu wa wakati huo Dr Verwoerd. Huyu Dr Verwoerd...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mbowe: Kikwete ameelemewa na Salehe Mohamed Tanzania Daima~Sauti ya Watu MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema Rais Jakaya Kikwete anahitaji...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hivi mkuu wa Trafiki tuseme ndiyo hajui kinachotokea siku za Jumatatu kila wiki, mara 52 kwa mwaka katika barabara ya Buguruni-Kwa Nyerere? Invyoelekea usalama au uchafuzi barabarani katika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu wadau, Hivi karibuni nimepata kupokea ujumbe huu kwenye inbox yangu toka kwa watu tofauti tofauti,nikatafakari yale yaliyomo na yale tunayojadili hapa jf,nikahisi kwamba labda kuna kuna...
0 Reactions
57 Replies
9K Views
JK: Watakaothibitika kuua albino kunyongwa na Esther Mbussi RAIS Jakaya Kikwete amesema wale wote watakaobainika na hatia ya mauaji ya maalbino nchini watakabiliwa na adhabu ya kifo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom