mzanganyika
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 257
- 6
Zile harakati za kuwa na Muungano ama ushirikiano wa vyama vya siasa katika chguzi umekwama wapi?
Wapinzani walivyoanza kuzungumzia swala hili nilikuwa na matumaini makubwa sana kwamba sasa tutakuwa na ushindani wa kweli wa siasa.
Nikiwa kama Independent nilifarajika, sasa sisikii lolote. What happened?
Wapinzani walivyoanza kuzungumzia swala hili nilikuwa na matumaini makubwa sana kwamba sasa tutakuwa na ushindani wa kweli wa siasa.
Nikiwa kama Independent nilifarajika, sasa sisikii lolote. What happened?