Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
baada ya kupokea misaada yenye thamani ya shilingi milioni 51 toka Uchina. (Picha na Haki Hakingowi)
Rais Jakaya Kikwete Apokea Misaada Kutoka China
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa amepanda katika pikpiki aliyokabidhiwa na balozi wa China nchini Tanzania Bwana Liu Xingshen kama seshemu ya msaada wa China kwa sekta mbalimbali za maendeleo nchini.Hafla hiyo ilifanyika ikulu jijini Dar es Salaam jana asubuhi.Misaada mingine iliyokabidhiwa katika hafkla hiyo ni pamoja na baiskeli, chupa za maji na mashine za kushonea nguo.
Balozi wa China Nchini Tanzania Bwana Liu Xinsheng akimkabidhi Rais Jakaya Mrisho Kikwete mipira soka na vifaa vingine ikiwemo baiskeli,pikipiki, chupa za maji na mshine za kushonea nguo kama mchango wake kwa sekta mbalimbali za maendeleo nchini.Wakati wa hafla hiyo fupi iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam.Rais Kikwete alitangaza kuwa misaada hiyo itapelekwa kwa waathirika wa mafuriko Kilosa mkoani Morogoro
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia viatu vilivyotolewa msaada na balozi wa China nchini Tanzania Bwana Liu Xinsheng katika hafla fupi iliyofanyika ikulu jijini dar es Salaam jana asubuhi.Rais Kikwete alitangaza kuwa misaada hiyo itapelekwa kwa waathirika wa mafuriko wilayani kilosa,Mkoani Morogoro.http://1.bp.blogspot.com/_stxylFr6jLM/S7Hrlq-_dEI/AAAAAAAAmBQ/930AHDAQq0k/s1600/2.jpg
Rais Jakaya Kikwete akiagalia msaada wa baiskeli zilizotolewa na nchi ya China ikiwa ni sehemu ya msaada wa vitu mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 51 vilivyotolewa na nchi hiyo jana Ikulu jijini Dar es salaam.Kulia kwake ni Balozi wa China Liu Xinsheng aliyekabidhi msaada huo.
Picha na Freddy Maro/Ikulu
Rais Jakaya Kikwete Apokea Misaada Kutoka China
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika mahojiano na mwakilishi wa shirika la habari la Xinhua nchini Tanzania Bi. Guo Chunju mara baada ya nchi ya China kukabidhi vifaa mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 51 kwa ajili ya shughuli za maendeleo nchini jana jijini Dar es salaam.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa amepanda katika pikpiki aliyokabidhiwa na balozi wa China nchini Tanzania Bwana Liu Xingshen kama seshemu ya msaada wa China kwa sekta mbalimbali za maendeleo nchini.Hafla hiyo ilifanyika ikulu jijini Dar es Salaam jana asubuhi.Misaada mingine iliyokabidhiwa katika hafkla hiyo ni pamoja na baiskeli, chupa za maji na mashine za kushonea nguo.
Balozi wa China Nchini Tanzania Bwana Liu Xinsheng akimkabidhi Rais Jakaya Mrisho Kikwete mipira soka na vifaa vingine ikiwemo baiskeli,pikipiki, chupa za maji na mshine za kushonea nguo kama mchango wake kwa sekta mbalimbali za maendeleo nchini.Wakati wa hafla hiyo fupi iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam.Rais Kikwete alitangaza kuwa misaada hiyo itapelekwa kwa waathirika wa mafuriko Kilosa mkoani Morogoro
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia viatu vilivyotolewa msaada na balozi wa China nchini Tanzania Bwana Liu Xinsheng katika hafla fupi iliyofanyika ikulu jijini dar es Salaam jana asubuhi.Rais Kikwete alitangaza kuwa misaada hiyo itapelekwa kwa waathirika wa mafuriko wilayani kilosa,Mkoani Morogoro.
Rais Jakaya Kikwete akiagalia msaada wa baiskeli zilizotolewa na nchi ya China ikiwa ni sehemu ya msaada wa vitu mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 51 vilivyotolewa na nchi hiyo jana Ikulu jijini Dar es salaam.Kulia kwake ni Balozi wa China Liu Xinsheng aliyekabidhi msaada huo.
Picha na Freddy Maro/Ikulu
My Take:
Misaada mingine tunayopokea au kumuacha Rais apokee kwa niaba yetu ni ya kiudhalilishaji wa jumla! Yaani hawa Wachina wameshindwa kupeleka misaada yao Red Cross au kwa taasisi fulani moja kwamoja hadi wapeleke Ikulu?
We are so cheap! This is when I call to mind with some apprehension SWALA and kampuni ya BORA! Mweh Ubepari kweli ni unyama!
Misaada mingine tunayopokea au kumuacha Rais apokee kwa niaba yetu ni ya kiudhalilishaji wa jumla! Yaani hawa Wachina wameshindwa kupeleka misaada yao Red Cross au kwa taasisi fulani moja kwamoja hadi wapeleke Ikulu?
We are so cheap! This is when I call to mind with some apprehension SWALA and kampuni ya BORA! Mweh Ubepari kweli ni unyama!