Jamani kwa wale ambao mko maofisini na barabarani maeneo ya city centre....along Ohio str...usumbufu mnaoupata sasa na kele za mafisadi wakijani ni JK anaelekea kuchukua form. Kwani si wangemtumia...
Zoezi la upigaji kura za maoni Zanzibar limeanza asubuhi hii kwa utulivu na amani hali inayotafsiriwa kama kiashiria cha Uchaguzi huru na wa haki mwezi October.
Niko hapa visiwa vya marashi ya...
Hamjambo Watu Wenu,
Nilisoma makala inayosoma Rais Obama atawaona mia moja kumi na tano viongozi watoka arobaini na sita nchi za Afrika kusini za Sahara. Watazungumza juu ya uwezo wa kuona...
kura za maoni kupata wagombea wa viti vya udiwani na ubunge kupitia tiketi ya ccm nchi nzima limegubikwa na matukio ya kustaajabisha ya uchawi, rushwa ya waziwazi ila kilichotia fora zaidi ni hali...
Wale walio karibu na Kawe
Jamani au kama mna waandishi wa habri kuna picha ya bure hapa wanakaya wa kata ya Kawe wanachapaa makofi live karibu na shell ya KOBIL.
Ni moto, sakata halisi lilikuwa...
Technically speaking, at last tumeujua ukweli wa mambo wa siasa za ZANZIBAR....kumbe CUF huwa wanashinda kwa zaidi ya asilimia 60 katika chaguzi za Zanzibar..kura ya maoni ime-reveal hii...
SIKU moja baada ya Takukuru mkoani Tabora kumnasa Waziri wa Maendeleo ya Jamiii Jinsia na Watoto Margaret Simwanza Sitta, jana aliibuka na kusema taasisi hiyo inawabambikia wananchi makosa ili...
Kikwete anahutubia sasa taifa, atazungumzia
a. Kura ya maoni
b. Barabara ya lami kupita serengeti
c. Uchaguzi Mkuu
Nitawaletea hotuba yenyewe baada ya hotuba kwisha.
SEHEMU YA 1...
Tangu hatua za kwanza za kutaka maridhiano kati ya CCM na CUF kule Visiwani zilipoanza nimekuwa najiuliza: Jee maridhiano haya yakizaa srikali ya umoja wa kitaifa kule Visiwani uhusiano wa vyama...
BBC Badilisheni hii Picha.
Hii Picha ipo kwenye kurasa ya mbele kabisa kwenye tovuti ya BBC swahili, hakika ilinistua kwa kuiona hii picha nikajuwa kuwa kuna matatizo kwenye upigaji kura...
Taasisi nyingi za serikali ambazo asili ya majukumu yake ni kutumia mabavu zina tatizo la kuwa na professionals wachache sana. Taasisi kama vile TAKUKURU, POLISI, na MAGEREZA ni taasisi ambazo...
Wakati wa kumaliza Mkutano wa 20 wa Bunge Wabunge walimlalamikia aliyekuwa Spika wa Bunge hilo Samwel Sitta, kuwa TAKUKURU inawafuatilia majimboni wakati wanatoa misaada ili kutimiza ahadi zao...
Vijana waliojitokeza kugombea nafasi za ubunge na uongozi katika ngazi nyinginezo kwa tiketi ya CCM ni wengi na wanazidi kuongezeka. Wengi wa vijana hawa ni wasomi na wenye shahada za juu...
Kwa heshima ya chama na serikali kwa ujumla
kwa heshima ya wana ccm wote wanaokitakia chama chao mapenzi mema
ninatarajia kesho kumwona mzee wetu mathread akieleza imekuwaje uhuni ama naweza ita...
Ayawi ayawi yamekuwa
kadi 400 za waanachama wa ccm feki zimekamatwa ktk kinyanganyiro cha uchaguzi ilala jangwani huku wakilalama iweje uchaguzi ukafanyike nyumbani kwa mjumbe;;matatizo haya...
Ikiwezekana wacharazwe bakora kadhaa mbele ya kadamnasi ili iwe fundisho mbele za watanzania kuwa sasa tumedhamiria kuifuta rushwa!
Hii ni fedheha si kitaifa tu bali kimataifa pia...
What a...
Wapendwa naomba msaada wenu
leo hii nimeona sehemu nyingi za kupiga kura dar kawe wakitukana nana hasa
na wengine kulalamikia iweje londa anagombea udiwani huku kinondoni
na ubunge seehemu...
Kwa wale walioangalia TBC habari saa mbili mnaweza kuamini sasa hii biashara ya kupiga kura ilikuwa wizi mtupu ..nasema hivi kwa maana tukianza na dar wameshindwa hata kupeleka viafaa vya kupiga...