Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Jamani kwa wale ambao mko maofisini na barabarani maeneo ya city centre....along Ohio str...usumbufu mnaoupata sasa na kele za mafisadi wakijani ni JK anaelekea kuchukua form. Kwani si wangemtumia...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Zoezi la upigaji kura za maoni Zanzibar limeanza asubuhi hii kwa utulivu na amani hali inayotafsiriwa kama kiashiria cha Uchaguzi huru na wa haki mwezi October. Niko hapa visiwa vya marashi ya...
0 Reactions
110 Replies
10K Views
Hamjambo Watu Wenu, Nilisoma makala inayosoma Rais Obama atawaona mia moja kumi na tano viongozi watoka arobaini na sita nchi za Afrika kusini za Sahara. Watazungumza juu ya uwezo wa kuona...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kura za maoni kupata wagombea wa viti vya udiwani na ubunge kupitia tiketi ya ccm nchi nzima limegubikwa na matukio ya kustaajabisha ya uchawi, rushwa ya waziwazi ila kilichotia fora zaidi ni hali...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wale walio karibu na Kawe Jamani au kama mna waandishi wa habri kuna picha ya bure hapa wanakaya wa kata ya Kawe wanachapaa makofi live karibu na shell ya KOBIL. Ni moto, sakata halisi lilikuwa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Technically speaking, at last tumeujua ukweli wa mambo wa siasa za ZANZIBAR....kumbe CUF huwa wanashinda kwa zaidi ya asilimia 60 katika chaguzi za Zanzibar..kura ya maoni ime-reveal hii...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
SIKU moja baada ya Takukuru mkoani Tabora kumnasa Waziri wa Maendeleo ya Jamiii Jinsia na Watoto Margaret Simwanza Sitta, jana aliibuka na kusema taasisi hiyo inawabambikia wananchi makosa ili...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Kikwete anahutubia sasa taifa, atazungumzia a. Kura ya maoni b. Barabara ya lami kupita serengeti c. Uchaguzi Mkuu Nitawaletea hotuba yenyewe baada ya hotuba kwisha. SEHEMU YA 1...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Tangu hatua za kwanza za kutaka maridhiano kati ya CCM na CUF kule Visiwani zilipoanza nimekuwa najiuliza: Jee maridhiano haya yakizaa srikali ya umoja wa kitaifa kule Visiwani uhusiano wa vyama...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
BBC Badilisheni hii Picha. Hii Picha ipo kwenye kurasa ya mbele kabisa kwenye tovuti ya BBC swahili, hakika ilinistua kwa kuiona hii picha nikajuwa kuwa kuna matatizo kwenye upigaji kura...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Taasisi nyingi za serikali ambazo asili ya majukumu yake ni kutumia mabavu zina tatizo la kuwa na professionals wachache sana. Taasisi kama vile TAKUKURU, POLISI, na MAGEREZA ni taasisi ambazo...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Wakati wa kumaliza Mkutano wa 20 wa Bunge Wabunge walimlalamikia aliyekuwa Spika wa Bunge hilo Samwel Sitta, kuwa TAKUKURU inawafuatilia majimboni wakati wanatoa misaada ili kutimiza ahadi zao...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Nimerushiwa na mdau mmoja hivi punde.... Ni kupitia mkoa mpya wa geita....
0 Reactions
21 Replies
8K Views
Vijana waliojitokeza kugombea nafasi za ubunge na uongozi katika ngazi nyinginezo kwa tiketi ya CCM ni wengi na wanazidi kuongezeka. Wengi wa vijana hawa ni wasomi na wenye shahada za juu...
0 Reactions
46 Replies
4K Views
Kwa heshima ya chama na serikali kwa ujumla kwa heshima ya wana ccm wote wanaokitakia chama chao mapenzi mema ninatarajia kesho kumwona mzee wetu mathread akieleza imekuwaje uhuni ama naweza ita...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ayawi ayawi yamekuwa kadi 400 za waanachama wa ccm feki zimekamatwa ktk kinyanganyiro cha uchaguzi ilala jangwani huku wakilalama iweje uchaguzi ukafanyike nyumbani kwa mjumbe;;matatizo haya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ikiwezekana wacharazwe bakora kadhaa mbele ya kadamnasi ili iwe fundisho mbele za watanzania kuwa sasa tumedhamiria kuifuta rushwa! Hii ni fedheha si kitaifa tu bali kimataifa pia... What a...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wapendwa naomba msaada wenu leo hii nimeona sehemu nyingi za kupiga kura dar kawe wakitukana nana hasa na wengine kulalamikia iweje londa anagombea udiwani huku kinondoni na ubunge seehemu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa wale walioangalia TBC habari saa mbili mnaweza kuamini sasa hii biashara ya kupiga kura ilikuwa wizi mtupu ..nasema hivi kwa maana tukianza na dar wameshindwa hata kupeleka viafaa vya kupiga...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…