Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,841
Hawa watu wana mizaha sana, lakini kwanini hotuba za Kikwete hazina nguvu wala msisimko kama zile za Mwalimu?
Hata kiutendaji Nyerere alimzidi sana Kikwete.
Je kulikoni kwenye kambi ya Kikwete?
Hata kiutendaji Nyerere alimzidi sana Kikwete.
Je kulikoni kwenye kambi ya Kikwete?