Na Asha Bani - Tanzania Daima
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kinatarajia kutumia vikundi mbalimbali vya sanaa na bendi 30 ambavyo vimetunga nyimbo za kuhamasisha wananchi kumpigia kura Rais Jakaya...
RAIS Jakaya Kikwete amezindua mradi wa Bwawa la Manchira lililoko wilayani Serengeti wakati tayari wananchi wamekwishafungua kesi Mahakama Kuu ya Mwanza wakidai fidia. Kesi hiyo iliyofunguliwa ni...
DK. ALI MOHAMED SHEIN
KUZALIWA
Dk Ali Mohamed Shein alizaliwa tarehe 13 Machi 1948 katika kijiji cha Chokocho kilichoko Wilaya ya Mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba. Dk Shein ameoa, ana...
Printer-friendly versionSend to friend
Ni ikiwa hatamteua kugombea urais Zanzibar
Mabilioni yamwagwa kutoka Uarabuni
Mbunge Rostam Aziz ahusishwa
Dk. Mohammed Gharib Billal
RAIS Jakaya...
B.W.Mkapa, kachaguliwa kuwa mjumbe wa katika hiyo taaisisi ya kimataifa ya kukabiliana na migogoro akiungana na wajumbe wengine 14, venye rekodi imara kitaaluma na utendaji.
mnyonge mnyongeni...
Kamati Maalumu ya NEC ya CCM imeanza kikao chake muda mchache uliopita hapa Zanzibar, Kisiwandui. Kikao hicho kitachagua wana CCM watano kwenda Kamati Kuu na baadaye NEC.
Majina yanayotajwa...
4th July 10
JK asisitiza barabara na uwanja wa ndege kujengwa
George Marato
Rais Jakaya Kikwete, amesisitiza kuwa miradi ya ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa mjini Mugumu...
Walikuwa wanatarajia kuandamana kuhamasisha wananchi wasichague CCM, Wanadai CCM iliwahadaa katika ILANI yake ya mwaka 2005 ya kuanzisha mahakama ya kadhi.
Afande kova anasema kuwa Mufti wa...
Kikao cha kuwajadili chaanza leo
Watawekewa alama za kukubalika
Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC
Wagombea 11 wa nafasi ya urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha...
Tatizo la Kikwete, ndiyoo.. huyu Raisi wetu..
Yeye anaaamini mtu yeyote yule anaweza kuwa Raisi, cha muhimu ni mbinu tu tena hasa mbinu chafu kama alizotumia yeye mwaka 2005 kuhonga wanahabari...
Mramba, Chenge `ruksa kugombea ubunge
Imeandikwa na Oscar Mbuza; Tarehe: 4th July 2010 @ 08:40
WAKATI kukiwa na shauku ya kutaka kujua iwapo mawaziri wa zamani, Basil Mramba na Andrew Chenge...
Waziri wa miundo mbinu amesema majuzi kwamba serikali imeanza mchakato wa kuiunda upya lile shirika la ndege la tanzania atc lililokuwa likilalamikiwa kila siku kukichwa...yamkini wengi wanajua...
-wapeleka tuhuma zake ccm na takukuru akuna kilichofwata
waanika ufisadi mzima wa viwanja
wasimulia kwa data anavyouza viwanja
watoboa anavyopata mamilion kwenye zabunu
wadai alinunua maua kwa...
wengi wa watanzania akili yao ni ya kutingisha, maana hainingii akilini kama akili yao iko standard ama lah,
we mtu anawezaje kuuza haki yake, tena kwa kulaghaiwa na furana, doti za khanga na...
Bunge la Tanzania likiendelea na mikutano yake
Kizito Noya, Dodoma na Boniface Meena Dar
WAZIRI Mkuu mstaafu, John Malecela amesema atafanya kila linalowezekana kuhakikisha kuwa Spika wa...
New African » July 2010
An election year anywhere in the world is usually a year when the government is compassionate to the electorate. With various players wanting to grab power and rule...
Natanguliza salaam kwa wana JF wote,
Kuna jambo limekuwa linanitatiza labda wenzangu mnaweza kunisaidia kupata ufafanuzi. Kumekuwa na utata mkubwa kuhusu jumla ya pesa ambazo serikali imepanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.