Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
Ama kweli tungepata TARIME Kama 10 kati ya 25 hakika akuna uupuuzi wa CCM wangeufanya ...kwa walioona TBC mwenyekiti wa CCM tarime amesema ameshindwa kutangaza matokeo baada ya kukaa na wagombea na kushauriana na kushindwa kuafikiana kutaja matokeo na hivyo kuishia kuomba matokeo yapelekwe mbele na ngazi za juu zitataja mshindi..hii kali wapendwa sijapata kuiona...nimefutahi maana watu wa kule wametangaza kama mtu wao walioamini ameshinda baada ya kuhesabu kura ataachwa basi watajua nini maana ya wanatarime
Hata hivyo habari zaidi zinasema mwenyekiti amebidi aishie kupeleka ngazi za juu baada ya kata 4 ambazo matokeo wanadai ayajaletwa lakini ukweli inadaiwa kuna wapuuzi walitaka kuleta ujinga wao na hivyo waliokuwepo hapo awakutaka kuwachelewasha zaidi ya kuchana chana leja na kusonga mbele ......
Hakika CCM mmetufundisha ni jinsi gani mnavyowaibia wapinzani ama mtakavyowaibia
anayway je hii itakuwa njia ya kuwakamata 2010 oct anyway yetu macho
Hata hivyo habari zaidi zinasema mwenyekiti amebidi aishie kupeleka ngazi za juu baada ya kata 4 ambazo matokeo wanadai ayajaletwa lakini ukweli inadaiwa kuna wapuuzi walitaka kuleta ujinga wao na hivyo waliokuwepo hapo awakutaka kuwachelewasha zaidi ya kuchana chana leja na kusonga mbele ......
Hakika CCM mmetufundisha ni jinsi gani mnavyowaibia wapinzani ama mtakavyowaibia
anayway je hii itakuwa njia ya kuwakamata 2010 oct anyway yetu macho