Hivi kwanza asili yake nini zile combat? Kuna mwenye kujua historia yake?
Ni vita hukumsikia JK jana alivyosema kuwa uchaguzi ni vita kama vita vingine, kwa Chadema ni vita ya ukombozi.Hata mimi ningependa kujua.. kwamba tuko vitani au? wafanye promo zaidi na wawatumie wasanii kama kina sugu n.k
Wadau mimi natamani makombati ya CHADEMA hasa wakati huu wa mapambano. Je, wanaweza shona na kuniuzia? Wana-CHADEMA tafadhalini shoneni mengi watu tutinge vitani...kumbuka yanaamsha morali ya kutafuta ushindi.
Njoo Makao Makuu utapata...
Naona GS umekuja kivingine well done
Hebu tuambie hiyo minguo ya kijani na njano inayonitia kichefu chefu kila ninapoiona ilianzia wapi?Hivi kwanza asili yake nini zile combat? Kuna mwenye kujua historia yake?
Nakupenda sana Regia, wewe ni mwanamke wa shoka bila shaka utashinda tu. Vipi usimamizi wa kura zisiliwe? tuje tukusaidie?. Nipe njia rahisi ya kupata gwanda na bei yake. ni flat rate au inategemea size?Njoo Makao Makuu utapata...
Njoo Makao Makuu utapata...
Nakupenda sana Regia, wewe ni mwanamke wa shoka bila shaka utashinda tu. Vipi usimamizi wa kura zisiliwe? tuje tukusaidie?. Nipe njia rahisi ya kupata gwanda na bei yake. ni flat rate au inategemea size?
Nimefurahi umejitokeza rasmi......tuko pamoja kumtoa Ligalama & co ili tupate lami na daraja pale mtoni
Mkuu naona uko nyuma.Ligalama hayumo hata kwenye top five.Aliyeshinda ni Pedeshee Abdu Mteketa akifuatiwa na Prof Choma,wanataka kubadilisha matokeo ili wampe huyo Prof nasikia kuna vurugu mechi inaendelea huko.Mi nimebaki mshangiliaji kwa maamuzi yeyote watakayoyafanya..
Asante RM kwa update....kha Mteketa tena?yule wa kuuzia mawe ya Kunduchi wazungu kuwa ni copper ore ya Congo!!!salale....ila safi wakikusimamisha nae unamng'oa kama mchicha vile.....
Makombati ya CCM ni rahisi kuyapata kwani mgambo wa jiji wanawakilisha,natumai kwa wale wakazi wa Dar mnaweza kwenda pale makao makuu ya Chadema na mtayapata au kupata data kamili namna ya kuyapata.Wadau mimi natamani makombati ya CHADEMA hasa wakati huu wa mapambano. Je, wanaweza shona na kuniuzia? Wana-CHADEMA tafadhalini shoneni mengi watu tutinge vitani...kumbuka yanaamsha morali ya kutafuta ushindi.