Pdidy
Platinum Member
- Nov 22, 2007
- 61,667
- 37,834
Kwa mlioona taarifa ya habari ya tbc; pastor/rev/appostle wetu machachari ambae majuzi chombo cha sheria kilimhukumu miezi sita kabla ya kukamatwa kwenye street ametoka na kurudi tena uraiani baada ya kulipa hela za watu mil 9 na ushee. Hata hivyo alipoachiwa alikiri atakata rufaa, anasubiri uchaguzi uishe arudi mahakamani.
Hongera mpambanuaji
Hongera mpambanuaji