B.W.Mkapa, kachaguliwa kuwa mjumbe wa katika hiyo taaisisi ya kimataifa ya kukabiliana na migogoro akiungana na wajumbe wengine 14, venye rekodi imara kitaaluma na utendaji.
mnyonge mnyongeni ila chenkapa kichwaa bwanaa....
Go BEN.
namkubali sana huyu mzee kwenye upeo wa mamboo...
Umefundishwa kumchUkia Ben, upumbavu gani wa ajabu?? kama ni kuchemka mbona hata mwalimu alikiri kuchemka?? ni kawaida kwa binadamu kukosea, lakini naona wewe umeshiba chuki dhidi ya Ben.....Kama kawaida ya Watanzania na upumbavu wao. Mitanzania ndivyo ilivyo! Mara tu wanampigia debe Mkapa pamoja na makosa yake chungu nzima aliyoyafanya. Mkapa kichwa! angekuwa kichwa angefanya upumbavu alioufanya akiwa Ikulu? Kweli Miafrika ndivyo ilivyo!
Kama kawaida ya Watanzania na upumbavu wao. Mitanzania ndivyo ilivyo! Mara tu wanampigia debe Mkapa pamoja na makosa yake chungu nzima aliyoyafanya. Mkapa kichwa! angekuwa kichwa angefanya upumbavu alioufanya akiwa Ikulu? Kweli Miafrika ndivyo ilivyo!
Umefundishwa kumchUkia Ben, upumbavu gani wa ajabu?? kama ni kuchemka mbona hata mwalimu alikiri kuchemka?? ni kawaida kwa binadamu kukosea, lakini naona wewe umeshiba chuki dhidi ya Ben.....
Haya basi Vasco ndiyo kichwa furahi......
Jamani URAIS unaharibu pia. Ben aliharibiwa na TAASISI hii ya Urais kisha Mama Anna akammalizia.