Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

JK awaonya viongozi walafi 03 Dec 2007 By Maura Mwingira, Kibaha Rais Jakaya Kikwete, amewatahadharisha viongozi wanaojigawia miradi ya wananchi maskini kuwa wasipoacha tabia hiyo atawataja...
0 Reactions
51 Replies
8K Views
Deep down tunajua kuwa vita dhidi ya Sadamu ilikuwa ni mafuta na kujitajirisha viongozi wa Marekani na makuwadi wao wa kibiashara kwa contract za milango ya nyuma kwa kampuni ya Diki Cheni. Sasa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Rais Kikwete aenda Marekani Mwandishi Wetu Daily News; Tuesday,August 26, 2008 @00:02 Raisi Jakaya Kikwete aliondoka nchini jana mchana kwenda Marekani kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kwa...
0 Reactions
49 Replies
7K Views
Kila mtu anapenda tunzo. Mwanafunzi anayesoma kwa bidii hutunukiwa alama ya juu. mfanyakazi hutunukiwa mshahara. Mtenda makosa hutunukiwa adhabu. Je watanzania tumeshindwa kuwatunukia tunzo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Sijui serikali walibakiza hisa kiasi gani, au ni wawekezaji wanagawana faida? Petra Diamonds buys 75pct of De Beers Tanzania mine LONDON, Sept 9 (Reuters) Tue Sep 9, 2008 2:44am...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Waungwana, Kenya matatizo yao yalitotokea katika uchaguzi wa Dec, 2007 waliweza kuyamaliza kwa muafaka na kuunda serikali ya mseto. Zimbabwe matatizo kati ya vyama vya ZANU-PF na MDC...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Katika siku hizi za karibuni tumeiona nchi yetu ikitumbukia katika matatizo makubwa ya ufisadi wa kutisha,pamoja na ukweli kwamba uovu mwingine pia umeongezeka katika kiwango cha kutisha.Lakini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
De Beers calls it quits at Mwadui Diamonds 2008-09-10 10:02:53 By Guardian Reporter Williamson Diamonds Limited`s all-time majority shareholder, De Beers, yesterday concluded a deal...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba msaada jamani.Kingunge ni mmoja wa makamanda wa vijana CCM. Ila kwa tafsiri halisi ya ukamanda kama vile sielewi vizuri. Naomba nisaidiwe maana ya ukamanda wa vijana CCM na kazi zake at...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Date::9/10/2008 Orodha ya vigogo Benki Kuu katika kashfa ya EPA waongezeka Claud Mshana na Ramadhan Semtawa Mwananchi ORODHA ya maafisa wa Benki Kuu Tanzania (BoT), waliong'olewa kutokana...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Sale of diamond mine sparks feud THISDAY REPORTER Dar es Salaam THE sale of a controlling stake in Williamson Diamond Mine based in Shinyanga Region to a foreign company has sparked...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Fisadi Mkapa naye apigwe marufuku kuingia Marekani na nchi zote za magharibi Date::9/8/2008 Mafisadi wa Tanzania wazuiwa kuingia Marekani Na Kizitto Noya Mwananchi SAKATA la ufisadi...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
(Mwananchi) SIKU chache tu, baada serikali ya Tanzania kushutumiwa na nchi za Ulaya kuhusu mauaji ya kinyama ya watu wenye ulemavu wa ngozi, albino, Sauda Ibrahim (20), ametekwa nyara na kuuawa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Meneja wa Fedha wa Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Mjini Bukoba (BUWASA), Jackob Laizer, jana alifikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bukoba akidaiwa kumsaidia mwanafunzi anayetuhumiwa kuwa na...
0 Reactions
42 Replies
7K Views
Wajuvi wa mambo wanasisitiza kuwa riwaya makini hasa zile zilizoandikwa na watu walio karibu na Serikali huwa zinakuwa na taarifa nyeti zilizofichwa kisanii ili kuwafikishia ujumbe wasomaji, yaani...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakuu heshima mbele, Siku chache zilizopita kulikuwa na thread hapa ikijadili kuhusu mfuo wa mawasiliano wa ikulu na mtumizi ya website au barua pepe,suala hili pia lilipata kuibuliwa kule...
0 Reactions
35 Replies
6K Views
BIG SCANDALS – STOP (AND PONDER) Source: The Gurdian! Mr R. J. Sabodo I am shocked by the amount of money Cell phone companies rob from us daily with full official endorsement and...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Watanzania tumekumbwa na bumbuwazi baada ya hotuba ya Rais Kikwete bungeni mwishoni mwa mwezi. Ukweli ni kuwa tusishangae tuliloliona au lililotokea, lilipangwa litokee hivyo baada ya sisi "wapiga...
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Mafisadi EPA waruka kiunzi na godfrey dilunga WIKI chache kabla ya Timu Maalumu iliyoundwa na Rais Jakaya Kikwete kuchunguza wizi wa mabilioni ya fedha kupitia Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA)...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Ni vema tukampongeza Mh Kikwete kwa jinsi ambavyo amelishughulikia suala la EPA. Vyovyote iwavyo, ameonesha ni kiongozi imara na makini katika kutatua issues. Kula tano Mr President. IMF chief...
0 Reactions
139 Replies
15K Views
Back
Top Bottom