Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wasalaam wana JF, Na kwa Mh. J.K, mosi, kheri ya miaka 20 ya ndoa japo watoto wamepita miaka hiyo 20 ; Pili, nawatakia kheri katika kuijongelea jubilee ya Silver ya ndoa yenu! Mungu na awajalie...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zilizopatika na ni kuwa DCs wamapanguliwa na wengine kustaafishwa bila shaka tuna wanachama wa JF waliopewa SHAVU. RAIS KIKWETE AFANYA MABADILIKO YA WAKUU WA WILAYA RAIS Jakaya Kikwete...
0 Reactions
108 Replies
19K Views
Makamba amtaka Tambwe atubu 2009-03-26 12:32:29 Na Thobias Mwanakatwe, Mbeya Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Yusuf Makamba, amewataka Hizza Tambwe na Lucy Rutainurwa kutubu...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Chadema yalipua mawaziri wawili 2009-03-27 11:13:27 Na Richard Makore Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewalipua mawaziri wawili na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Tanzania has collected only $1 million in income tax from foreign mining companies even though they exported nearly $3 billion worth of gold over a four-year period, a new report has revealed. As...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Tahariri: Mwanahalisi KATIBU Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Chiligati amejenga mazingira ya kutumbukiza taifa katika janga kubwa la vita. Aliwaambia waandishi wa habari mjini...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Heshima Mbele, Kwa mlio Nyumbani na ambao mmeweza kusoma gazeti la leo la Mwananchi naomba mtupe habari zaidi sababu mie nimepewa kwa kifupi tu na Mhariri wa Gazeti moja la Nyumbani.Habari hiyo...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kuna taarifa kwamba wakati wowote ndani ya siku mbili hizi Mzee John Malecela anatarajiwa kutoa tamko zito ambalo linaweza kutikisa nchi na Chama cha Mapinduzi (CCM). Lakini pia tamko lake...
0 Reactions
282 Replies
30K Views
JK akiri kushindwa, Tutamsaidia - Mbowe • Asema taifa linapita katika majaribu mazito kiuongozi na Edward Kinabo Tanzania Daima~Sauti ya Watu MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna habari kwanba mkoani Mbeya hivi sasa kuna mauaji yakutisha, mauaji hayo yanasadikika kuwa ni ya imani zakishirikina, wafanya biashara wa mabucha ya nyama ndiyo washirika wakuu, inasemekana...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
mambo ya kuzingatia: a. Baada ya CCM, CUF ni chama cha pili kinachopokea ruzuku nyingi toka serikalini. b. Pesa hizo ni nje ya wanazopata kupitia wafadhili, miradi yao mbalimbali (kama wanayo)...
0 Reactions
65 Replies
8K Views
Kwa nini CHADEMA isiwapeleke mahakamani wahusika wa ufisadi ? Chadema wanasikika wakilipua na kutangaza kwenye mikutano yao ya operesheni sangara kuwa fulani na fulani ni mafisadi wamesababisha...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Ningependa asiwe BASHIR PEKE YAKE. Nataka kumfikisha Rais Mstaafu B.W. Mkapa wa Tanzania pamoja na washirika wake ktk mahakama ya Dunia kwa mauaji ya Pemba. Nadhani nahitaji msaada wa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Utakuwa ni saa nane kila siku zinatazogawanywa katika vipindi viwili vya saa nne nne kila kimoja. Yaani, kama ni zamu yenu ya kukosa umeme, mtakosa asubuhi kwa saa nne, na jioni kwa saa nne...
0 Reactions
104 Replies
12K Views
1. Dr. Wilbroad Slaa - For sorting out list of shame 2. John Pombe Magufuli - For sorting out illegal fishing 3. Said Mwema - For sorting out grand organized robbery 4. Tundu Antipas Lissu -...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
  • Closed
- Wamtetea Dk. Mwakyembe katika sakata la umeme - Wamshukia vibaya Rostam...
0 Reactions
71 Replies
10K Views
Kutokana na taarifa aliyoitoa katika vyombo vya habari mukulungenzi wa Tenesco kwamba Tenesco inajitoa katika ununuzi wa mitambo ya kuzalisha umeme ya Downs lakini kwa maelezo kuwa kutakuwa na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
TBC1 habari kwa ufupi saa kumi wamesema Chadema wamewatimua wanachama 12. Mwenye data za undani zaidi atushushie.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Malecela: Ni Kikwete tu 2010 2009-03-26 12:38:03 Na Joseph Mwendapole Makamu Mwenyekiti Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, John Malecela, amesema kuwa mwanachama yeyote wa CCM...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom