Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

A oxford don- prof paul colliers book,WARS,GUNS and VOTES has attempted to look at africa's enduring problems with a fresh impetus.He writes-Elections in poor countries with weak institutions can...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Interesting read! Just received this from a good friend from Oxford university, they are actually reading this stuff in their lectures!! UDSM mpoo?? Wageni waijua nchi yetu kuliko sisi wenyewe??
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi karibu Halmashauri kuu ya CCM mkoa wa Shinyanga wamepitisha azimio la kutomtambua mgombea yeyote atayejitokeza kupambana na Rais Kikwete uchaguzi ujao ndani ya chama chao. Kauli hii pia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
cocacola, ibm, nokia, nk zinahesabika kwamba ni "brands" zenye thamani sana. kwa maana nyingine "brands" hizi zinaheshimika kwa nguvu zake sokoni. makampuni yenye brands hizi yanawivu sana na...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakati mijadala kuhusu malipo makubwa ya wabunge ukiendelea imebahinika kuwa kundi la wabunge 27 hawajawahi kushiriki kikamilifu shughuli za bunge ,ikiwa ni pamoja na kutouliza maswali ya msingi...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Jamani, katika pita pita yangu kuna ka nzi kametua mahali fulani bongo na kuniuliza kama kwa kunidokeza kuwa inakuwaje kuna agency moja nchini ambayo inakusanya hizo appearance fees. Kwamba...
0 Reactions
41 Replies
6K Views
Tukiacha kulumbana, watatuburuza! Lula wa Ndali-Mwananzela Aprili 8, 2009 Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo WIKI chache zilizopita tumeshuhudia viongozi mbalimbali wakizungumza na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wako wamama wengi wasomi na wenye uchungu wa nchi, kiu ya maendeleo, wazalendo. Sizungumzii itikadi za vyama, Je TZ iko tayari kuongozwa na mwanamke? JFs mnafikiri ni mwanamama yupi anafaa...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Bado najiuliza hivi ni lini Afika tutafikia kiwango cha kuwajibika cha kiasi hiki?. Leo asubuhi Bob Qick, aliyekuwa mkurugenzi wa polisi kitengo cha counter terrorisim nchini Uingereza amejiuzulu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Zamu ya akina Chenge na Idris Rashid na wenzao iko karibu....? BBC Swiss hold '$150m Nigeria bribes' The Nigerian government says it has asked for the names of the bribe takers US...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WIZARA YA ARDHI INAWAFANYA WANYONGE KUWA MASKINI ZAIDI. Mwaka 2009 umewadia, na hivi karibuni tutaanza kusikia tambo za wanansiasa mbali mbali wakijinadi kwa wananchi ili waweze kupigiwa kura...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Isles opts to go it alone in oil ISSA YUSSUF in Zanzibar, 4th April 2009 @ 02:24 Zanzibar yesterday said it wants to be free on matters concerning oil and natural gas exploration and...
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Wimbo wetu ulio bora, ule ule wenye viitikio vingi visivyoleta maana wala mwelekeo umepata kibwagizo kipya "mtikisiko wa Uchumi wa Dunia na kuanguka kwa uchumi wa nchi Tajiri'! Naam, wanasiasa na...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Uchunguzi wa kina unaonyesha ya kwamba asilimia 70% ya bidhaa zinazoingia Tanzania ni ‘feki’ na zinazotokana na unyang’anyi [piracy] hasa kutokea China. Na hiihipo kuanzia kwenye Maziwa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
WIZARA YA ARDHI INAWAFANYA WANYONGE KUWA MASKINI ZAIDI. Mwaka 2009 umewadia, na hivi karibuni tutaanza kusikia tambo za wanansiasa mbali mbali wakijinadi kwa wananchi ili waweze kupigiwa kura...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF: Kushindwa kwa siasa kunatokana na sababu za nje na za ndani. Mpaka sasa watanzania wengi wanafikri kuwa Ujamaa ulishindwa kwa sababu za nje. Wanafikri kulikuwa na maadui ambao...
0 Reactions
59 Replies
7K Views
1. Simama http://www.jambovideos.com/bongos/08-04-08/Simama.mp3 2. Nikipata Nauli - Mrisho Mpoto http://www.jambovideos.com/bongos/NikipataNauli.mp3 3. All we need Africa...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Dk Slaa asema serikali inamuogopa Dk Hosea Mwandishi Wetu Mwananchi NAIBU kiongozi wa upinzani bungeni, Dk Willibrod Slaa amesema serikali inachelea kuchukua hatua dhidi ya mkurugenzi wa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nape amzodoa kwa aibu Mnyika kuhusu wanawake Mwanasiasa shupavu na mjumbe wa NEC ya chama tawala(CCM) Nape Nnauye amemzodoa kijana wa CHADEMA, John Mnyika kuhusiana na kauli zake kuhusu...
0 Reactions
41 Replies
6K Views
JK still outstanding CAROLINE ULIWA, 4th April 2009 @ 23:57 President Jakaya Kikwete remains outstanding in leaders' popularity rating in Tanzania by 62 per cent, a professional...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Back
Top Bottom