Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Well the way CCM primaries are supposed to work toward getting candidates for different political offices in the General Elections. Watch this:
TAREHE
21/7/2010
Mara baada ya muda wa kurudisha fomu kumalizika saa 10 jioni, Kamati za Siasa za Wilaya zitafanya mikutano ya pamoja na wagombea wao wa nafasi za Udiwani, Ubunge au Uwakilishi, waliorudisha fomu; kwa madhumuni ya kujadili na kuafikiana juu ya ratiba na vituo vya mikutano hiyo; michango ya usafiri wa pamoja wakati wa mikutano ya kampeni; na kukumbushana juu ya umuhimu wa kila mgombea kuzingatia maadili ya Chama Cha Mapinduzi na miiko ya uchaguzi wa ndani ya Chama chetu.
22 - 31/7/2010
Kipindi cha Mikutano ya kampeni ya wagombea
Ubunge/Uwakilishi na Udiwani.
1/8/2010
Siku ya Upigaji Kura za maoni kwa wagombea wote katika Matawi.
2-3/8/2010
Kuandaa matokeo (siyo kutangaza MM) kwa ajili ya vikao.
5-6/8/2010
Kamati za Siasa za Wilaya kuwajadili wagombea (siyo kutangaza matokeo MM)Ubunge/Uwakilishi na Udiwani.
Kabla ya kuanza agenda ya kuwajadili wagombea, Kamati za Siasa za Wilaya zitafanya mikutano ya pamoja na wagombea wao waliopigiwa kura za maoni, kwa madhumuni ya kukubaliana juu ya suala la kuvunja makundi ya wagombea hao ili kuimarisha umoja na mshikamano ndani ya Chama chetu. (siyo kutangaza matokeo MM)
7/8/2010
Kamati za Siasa za Mikoa kujadili na kutoa mapendekezo (siyo kutangaza wagombea M.M) kwa Kamati Kuu kuhusu wagombea wote.
Ngazi ya Taifa
TAREHE
9/8/2010
Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya Taifa Zanzibar, kuwajadili wagombea Ubunge/Uwakilishi (siyo kutangaza wagombea MM) wa Majimbo na Viti Maalum Wanawake.
10-11/8/2010
Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa.
12-13/8/2010
Kamati Kuu kupendekeza wagombea (siyo kutangaza wagombea MM) Ubunge/Uwakilishi.
14/8/2010
Halmashauri Kuu ya Taifa kufanya uteuzi wa mwisho wa wagombea Ubunge/Uwakilishi wa Majimbo (siyo kutangaza wagombea MM) na wa viti maalum.
Well.. what the heli is wrong with this people.. if they don't trust their own voters why vote? Why don't they just announce who who on Sunday or Monday so we get over with it.. but for 15 days they are still discussing the same thing.
What suprise me, some people who are considered to be educated are willing to participate in this illusion of democracy! Am I wrong to call this arrangement bordering stupidity?
TAREHE
TUKIO
Mara baada ya muda wa kurudisha fomu kumalizika saa 10 jioni, Kamati za Siasa za Wilaya zitafanya mikutano ya pamoja na wagombea wao wa nafasi za Udiwani, Ubunge au Uwakilishi, waliorudisha fomu; kwa madhumuni ya kujadili na kuafikiana juu ya ratiba na vituo vya mikutano hiyo; michango ya usafiri wa pamoja wakati wa mikutano ya kampeni; na kukumbushana juu ya umuhimu wa kila mgombea kuzingatia maadili ya Chama Cha Mapinduzi na miiko ya uchaguzi wa ndani ya Chama chetu.
22 - 31/7/2010
Kipindi cha Mikutano ya kampeni ya wagombea
Ubunge/Uwakilishi na Udiwani.
1/8/2010
Siku ya Upigaji Kura za maoni kwa wagombea wote katika Matawi.
2-3/8/2010
Kuandaa matokeo (siyo kutangaza MM) kwa ajili ya vikao.
5-6/8/2010
Kamati za Siasa za Wilaya kuwajadili wagombea (siyo kutangaza matokeo MM)Ubunge/Uwakilishi na Udiwani.
Kabla ya kuanza agenda ya kuwajadili wagombea, Kamati za Siasa za Wilaya zitafanya mikutano ya pamoja na wagombea wao waliopigiwa kura za maoni, kwa madhumuni ya kukubaliana juu ya suala la kuvunja makundi ya wagombea hao ili kuimarisha umoja na mshikamano ndani ya Chama chetu. (siyo kutangaza matokeo MM)
7/8/2010
Kamati za Siasa za Mikoa kujadili na kutoa mapendekezo (siyo kutangaza wagombea M.M) kwa Kamati Kuu kuhusu wagombea wote.
Ngazi ya Taifa
TAREHE
TUKIO
Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya Taifa Zanzibar, kuwajadili wagombea Ubunge/Uwakilishi (siyo kutangaza wagombea MM) wa Majimbo na Viti Maalum Wanawake.
10-11/8/2010
Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa.
12-13/8/2010
Kamati Kuu kupendekeza wagombea (siyo kutangaza wagombea MM) Ubunge/Uwakilishi.
14/8/2010
Halmashauri Kuu ya Taifa kufanya uteuzi wa mwisho wa wagombea Ubunge/Uwakilishi wa Majimbo (siyo kutangaza wagombea MM) na wa viti maalum.
Well.. what the heli is wrong with this people.. if they don't trust their own voters why vote? Why don't they just announce who who on Sunday or Monday so we get over with it.. but for 15 days they are still discussing the same thing.
What suprise me, some people who are considered to be educated are willing to participate in this illusion of democracy! Am I wrong to call this arrangement bordering stupidity?