DoubleOSeven
JF-Expert Member
- Jul 5, 2008
- 661
- 143
ound:
Wako wapi wale manabii wawaliotufanyisha kwata kwa muda wa miaka mitatu mfululizo bila mafao yoyote?
Wako wapi wale manabii waliotusadikisha kuwa nchi iko vitani?
Wako wapi wale waliohubiri katika nchi na bungeni, wakipanda jukwaa moja baada ya jingine wakipigana vita dhidi ya ufisadi?
Wameonekana kule Dodoma wakila na kunywa huku wakiruka majoka na wale wale tulioambiwa ni mafisadi..
Ilitarajiwa na wengi kuwa baada ya Bunge kumaliza muda wake, Manabii wale wangekuwa mstari wa mbele kupambana na wenzao wachafu ambao tuliambiwa kuwa ni mafisadi ili kuinusuru nchi.
Dhambi kubwa ya watu hawa itakayodumu milele katika kumbukumbu za wananchi ni ile ya KUVAMIA hoja njema ya Wanawema juu ya ufisadi na KUIFANYA YAO NA KISHA WAKAIUA KIHUNI.
Somo limeeleweka?
(Jarida la Siasa, Tanzania Daima ya leo)
Wako wapi wale manabii wawaliotufanyisha kwata kwa muda wa miaka mitatu mfululizo bila mafao yoyote?
Wako wapi wale manabii waliotusadikisha kuwa nchi iko vitani?
Wako wapi wale waliohubiri katika nchi na bungeni, wakipanda jukwaa moja baada ya jingine wakipigana vita dhidi ya ufisadi?
Wameonekana kule Dodoma wakila na kunywa huku wakiruka majoka na wale wale tulioambiwa ni mafisadi..
Ilitarajiwa na wengi kuwa baada ya Bunge kumaliza muda wake, Manabii wale wangekuwa mstari wa mbele kupambana na wenzao wachafu ambao tuliambiwa kuwa ni mafisadi ili kuinusuru nchi.
Dhambi kubwa ya watu hawa itakayodumu milele katika kumbukumbu za wananchi ni ile ya KUVAMIA hoja njema ya Wanawema juu ya ufisadi na KUIFANYA YAO NA KISHA WAKAIUA KIHUNI.
Somo limeeleweka?
(Jarida la Siasa, Tanzania Daima ya leo)