Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,464
- 5,176
Kampuni hii ambayo inatajwa kuwa inamilikiwa na mwanamama, kwa nini ipewe nafasi ya ukiritimba kwenye sekta ya kutengeneza nambari ya magari?
Kipindi hiki cha soko huria, kwanini wawekezeji wasikubaliwe kushindana na masasi sign ili mwananchi anufaike na ushindani wa kibiashara na pia awe na uwanja mpana wa kumchagua mtengeneza kibao amtakaye?
Je, Masasi Signs ni mradi wa kibopa gani?
Kipindi hiki cha soko huria, kwanini wawekezeji wasikubaliwe kushindana na masasi sign ili mwananchi anufaike na ushindani wa kibiashara na pia awe na uwanja mpana wa kumchagua mtengeneza kibao amtakaye?
Je, Masasi Signs ni mradi wa kibopa gani?