Je, kauli hii iliyowahi tolewa na Socrates PLATO, mmoja wa wanafalsafa bingwa wa kale wa Ugiriki,inatupa funzo lolote sisi wa Tanzania, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye uchaguzi mkuu???
Plato aliwahi kusema hivi "WALE AMBAO NI WELEDI, MAHIRI NA WAADIRIFU LAKINI HAWATAKI KUINGIA KATIKA SIASA, MWISHOWE HUJIKUTA WAKITAWALIWA NA WATU HOVYO NA WAJINGA"
Plato aliwahi kusema hivi "WALE AMBAO NI WELEDI, MAHIRI NA WAADIRIFU LAKINI HAWATAKI KUINGIA KATIKA SIASA, MWISHOWE HUJIKUTA WAKITAWALIWA NA WATU HOVYO NA WAJINGA"