AK-47
JF-Expert Member
- Nov 12, 2009
- 1,373
- 199
Wana JF nimehaha kutafuta Ilani za Uchaguzi za vyama vya siasa bila mafanikio nilienda CCM nikaambiwa zinauzwa lakini mara bado mara anayeuza hayupo..nikatia timu CHADEMA nikaambiwa hazijatoka mtu mwingine akasema nimuone Mwenyekiti. Kwa hiyo naomba kama kuna anaweza kupata japo soft copy za vyama kadhaa atutumbukizi jamvini ili tuzisome na tuzielewe kisha tufanye uamuzi sahihi Oktoba 31.