Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM wa Mkoa wa Iringa ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu John kilichoko Dodoma, Fadhili Ngajilo (32) amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kujihusisha na rushwa, alikuwa mmoja kati ya wana CCM 12 waliokuwa wanatafuta ridhaa ya kuteuliwa kugombea ubunge Iringa Mjini.
HabariLeo | Mwenyekiti UVCCM kortini kwa rushwa
HabariLeo | Mwenyekiti UVCCM kortini kwa rushwa