Habari zilizonifikia punde zimesema kuwa rafiki mkubwa wa MH. waziri mkuu mstahafu EL, Mheshimiwa Pelo amepatikana na kashfa ya kuleta mganga wa kienyeji toka mkoa wa Manyara na amekamatwa usiku wa manane kata ya Makuyuni ambapo mh. Pelo aliyekuwa diwani kapigwa chini katika kura za maoni.
Je alikuwa anakusudia kumdhuru nani? Polisi walipomhoji mchawi mwenyewe alisema kaletwa na Pelo kuendesha kampeni zake ili apate ushindi katika marudio ya kura. Katika sakata hilo, pia mhudumu wa mahakama kakamatwa na kadi za CCM za Mh Pelo kugawia watu ili wapige kura.
Source, RPC-Arusha. Mlioko monduli tupeni habari timilifu.
Je alikuwa anakusudia kumdhuru nani? Polisi walipomhoji mchawi mwenyewe alisema kaletwa na Pelo kuendesha kampeni zake ili apate ushindi katika marudio ya kura. Katika sakata hilo, pia mhudumu wa mahakama kakamatwa na kadi za CCM za Mh Pelo kugawia watu ili wapige kura.
Source, RPC-Arusha. Mlioko monduli tupeni habari timilifu.