Tonge
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 695
- 12
Nilishatoa kwenye jf nia yangu ya kugombea ubunge kwa tiketi ya chadema mnamo may 2010, sasa baada ya kura za maoni kupigwa pale jimbo la lushoto mjini na shekifu kuibuka kidedea sasa naona njia ni nyeupe kuchukua kiti cha ubunge kwa tiketi ya chadema pale lushoto mjini, wanalushoto hawawezi kula matapishi yao maana walimuondoa shekifu 2005 na najua hawako tayari kumpa kura 2010 kwani hana jipye, hii ni sawa na "mvinyo wa zamani usiolewesha kwenye chupa mpya". Naombeni support yenu ili nilitwae hili jimbo.