Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 302
Wajumbe wote wa kamati kuu ya CCM wamehudhuria kikao cha CC kinachoendelea Dodoma isipokuwa mwanasiasa mkongwe, John Samuel Malecela pamoja na waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa.
Haikuweza kufahamika sababu ya wajumbe hao kukosekana katika kikao hicho muhimu cha chama. Kulikoni?
Haikuweza kufahamika sababu ya wajumbe hao kukosekana katika kikao hicho muhimu cha chama. Kulikoni?