Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hivi imetokea sasa kwamba CHADEMA hiyoo imechukua nchi,hivi vyombo vya habari hasa vya serikali TBC,Habari leo vitajificha wapi? maana waliyekuwa wakimponda na kumrushia vijembe ndio amekuwa bosi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu, Nilikua nawaza sana kuhusu midahalo ya Urais kabla ya uchaguzi mkuu. Pamoja na kwamba SISIMU imekataa mdahalo kwa nini tusiwe na mdahalo wa vyama vingine vilivyobaki? Mdahalo live uandaliwe...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Mgombea Mweza CCM, Dk. Mohammed Gharib Bilal Fukuto la kura za maoni lingali linachemka ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kiasi cha kuathiri mahudhurio ya wanachama kwenye mkutano wa kampeni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
UME ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), imeitaka CCM) kung’oa mabango ya picha za mgombea wake wa urais, Jakaya Kikwete zilizopigwa kwenye maeneo ya Ikulu. Mwenyekiti wa Nec, Jaji Lewis Makame...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
With all due respect, Mr Seif Sharif Hamad, tell us the truth on: "We have a lot of Zanzibaris in the Diaspora. If CUF wins this election we are going to put them into use and help the country...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dr SLAA, yes we can, huyu ni mtanzania wa pili kwa nyerere kuchukia ufisadi kwa vitendo, ni mtanzania wa pili kuchukia umaskini wa watanzania kwa vitendo, ni Dr. Slaa aliesimama mnazi mmoja kutaja...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hii ni mara ya pili Mama Salma Kikwete anaingilia mikutano(msafara) wa mgombea urais wa Chadema Dr. Slaa. Mara ya kwanza ni wakati ratiba ya mikutano ya Slaa ilikuwa inaonyesha angekuwa Mbulu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mgombea wa ubunge kupitia CCM njombe kaskazini Jah people ambaye elimu yake ya ni darasa la PILI SIYO LA SABA kama yeye alivyo jinadi amewakera wabena wa njombe na hivyo kudiriki kusema kura zao...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Dear, Mageuzi: Well, I know ya kinda shocked me calling you Mageuzi, but that's how I prefer it (Upinzani sound little militant and confrontational to me). Besides, it kinda scares the sh*t out...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mwaka 2005, Mgombea wa CCM Jakaya Kikwete alituchota sana na kauli mbiu ya Maisha Bora kwa Kila Mtanzania hadi tukampa kura za ushindi wa kishindo. KIlichofuatia baada ya hapo ni kwa Watanzania...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kutoka wall ya Facebook page ya Chadema Mama Salma Kikwete ametumia ndege ya Serikali namba 5H TGF kwenye Kampeni za Kikwete. Dr. Slaa ameagiza wanasheria wa Chama kumfungulia kesi Salma...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Jamani mbna aya mazuri ya Jk amyasemi?au ayapo?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimejaribu kufuatilia kwa ukaribu zaidi Kampeni za Rais aliyemaliza muda wake na sasa anaomba ridhaa tena kwa Wananchi wamchague Rais Kikwete nimegundua Asilimi kubwa inayojitokeza kwanza kundi...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Wenye uhakika tusaidieni.... Kuna dhana/tafisri mbili zinachanganya kuhusu mipaka/mahali ambapo mtu anaweza kupigia kura ya rais. KWAMBA KURA YA URAIS UNAWEZA KUPIGA KITUO CHOCHOTE TANZANIA...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hii ni mara yangu ya kwanza kuwepo tanzania wakati wa uchaguzi mkuu. Sina hakika lakini nadhani mwaka huu vyama vingi vimejitokeza kutaka kupata michango kwa njia mbalimbali ikiwemo new technology...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hivi naomba niulize kitu kimoja maana naona dhahiri hapa kuna walakini!!Nilisikia serikali imeagiza mtambo wa kuchapisha karatasi za wapigakura badala yakuagiza swali ni vipi serikali iliyopo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu wadau naomba kuelimishwa kidogo kuhusu mzee Aboud Jumbe. Naambiwa aliwahi kuwa Rais wa Zanzibar na Makamu wa pili wa Rais wa JMT. Ninachoshangaa ni kwamba sijawahi kumuona hata siku moja...
0 Reactions
55 Replies
9K Views
Wapendwa wanajamii, napenda kuibua hoja kama changamoto kwa jamii yetu kuhusu kauli zetu mbalimbali zinavyoweza kujenga ama kubomoa kwa namna moja ama nyingine. Wakati wa mchakato wa kusaka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kikwete , Dk Slaa hapatoshi Na Waandishi Wetu WAKATI kampeni za uchaguzi mkuu zikikaribia kumaliza mwezi mmoja, mashambulizi baina ya wagombea yanazidi kuwa makali baada ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nyie NEC kuwaambia CCM kuondoa mabango ya ikulu baada ya kujadili kwa siku mbili ndio adhabu tosha au nyingine itafuata? John vipi hapa? (Mwananchi 14/09/2010). Je, ni sahihi kwa JK kutoa ahadi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom