Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Nyie NEC kuwaambia CCM kuondoa mabango ya ikulu baada ya kujadili kwa siku mbili ndio adhabu tosha au nyingine itafuata? John vipi hapa? (Mwananchi 14/09/2010). Je, ni sahihi kwa JK kutoa ahadi kutumia mipango ya maendeleo ya serikali? Kama sio basi NEC na Tendwa angalieni ili hasa mipango ya Millennium Challenge Account (MCA - T) iliyosainiwa wakati Bush alipotembelea Tanzania!