palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,455
Mgombea wa ubunge kupitia CCM njombe kaskazini Jah people ambaye elimu yake ya ni darasa la PILI SIYO LA SABA kama yeye alivyo jinadi amewakera wabena wa njombe na hivyo kudiriki kusema kura zao zote wanampa Alatanga Nyagawa wa CHADEMA. Yule jamma ni mkinga na ujuavyo wengi wa wakazi wa jimbo hilo ni wabena eti ana waambia wabena MMEPANUA WAKINGA TUMEINGIZA.