Ngaramu
JF-Expert Member
- May 7, 2009
- 382
- 78
Wenye uhakika tusaidieni....
Kuna dhana/tafisri mbili zinachanganya kuhusu mipaka/mahali ambapo mtu anaweza kupigia kura ya rais.
KWAMBA KURA YA URAIS UNAWEZA KUPIGA KITUO CHOCHOTE TANZANIA isipokuwa KURA ZA MADIWANI NA WABUNGE lazima kutumia ulipojiandikisha.
kuna watu wanajiridhisha (wa vyuo) kuwa watapiga kura ya rais popote, hii itawafanya wapoteze haki yao kama hakutakuwa na uelimishaji wa kutosha ktk hili.
UKWELI NI UPI???? Kura zao ni muhimu sana.
Kuna dhana/tafisri mbili zinachanganya kuhusu mipaka/mahali ambapo mtu anaweza kupigia kura ya rais.
KWAMBA KURA YA URAIS UNAWEZA KUPIGA KITUO CHOCHOTE TANZANIA isipokuwa KURA ZA MADIWANI NA WABUNGE lazima kutumia ulipojiandikisha.
kuna watu wanajiridhisha (wa vyuo) kuwa watapiga kura ya rais popote, hii itawafanya wapoteze haki yao kama hakutakuwa na uelimishaji wa kutosha ktk hili.
UKWELI NI UPI???? Kura zao ni muhimu sana.