Elections 2010 Vyama kuchangisha kwa ajili ya uchaguzi 2010

Sep 13, 2010
8
0
Hii ni mara yangu ya kwanza kuwepo tanzania wakati wa uchaguzi mkuu. Sina hakika lakini nadhani mwaka huu vyama vingi vimejitokeza kutaka kupata michango kwa njia mbalimbali ikiwemo new technology ya mobile phones - yaani SMS. lakini nashindwa kuelewa, hivi vyama hivi vinajua hasa jinsi ya kuitumia technologia hii ya SMS? maana vinajitangaza lakini huduma hazifanyi kazi au mpango mzima wa kuchangia haueleweki. CHADEMA walijitangaza - kumbe huduma yenyewe haikua infanyakazi, CCM walizindua - kweli yao inafanyakazi lakini taarifa za mapato ku update jamii hakuna. CUF wamezindua lakini hakieleweki. hivi nyie wenye vyama mnajua kweli jinsi ya ku capitalise kwenye huduma hii mpya?

Michango kwa SMS haitapatikana mingi kwa kuvuna tuuuuuuuuuuuu kutoka kwa wananchi bila kuwapatia wananchi ingalau ruzuku kidogo kwa kuwachangia. hata kwenye harusi unachanga, halafu unaenda kula mchango wako.

VYAMA VYA SIASA AMKENI MSIKOMBE TUUUUUUUUUUUU KWA WANANCHI - GIVE THEM THE REASON TO CONTRIBUTE. HUU NI USHAURI WA BURE.

AU MNASEMAJE WENZANGU
 
PEOPLE IN BUSINESS; lazima kuna paycheck


allpurpose2010
  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • message.png
    Private Message
  • article.png
    View Articles
  • add.png
    Add as Contact
user-offline.png
Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png

Join DateMon Sep 2010Posts1Thanks : 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power0
 
Back
Top Bottom