Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

JK claims that it is not possible to offer free education (The Guardian, 15/09/2010). Is it to tell the poor that under CCM government they should forget about better and affordable education? Is...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wanabodi, Hizi ni ilani za uchaguzi za vyama vitatu vikuu vya siasa hapa nchini, CCM, CHADEMA and CUF. Wataalam wa uchambuzi, naombeni m-compare and contrast. Attachments zinafuata.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
IMANI YA CCM • Binadamu wote ni Sawa • Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake • Ujamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru AHADI...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kutokea kuanza kwa Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2010, mgombea urais wa CCM Mhe Jakaya Kikwete na wapiga debe wake wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa sana kukwepa hoja zinazosababisha umaskini wa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
dakika chache kabla ya JK kumaliza kuutubia Moshi uwanja wa mashujaa, Tanesco wamekata umeme. Je ni salamu kwa mjomba?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
'' Vi 'Inzi" Vilivyotangulia mitaa ya obwere ka bwana Shirati Rorya Ngome ya Mwasisi wa Mageuzi Nchini Hon Learned Mabere Nyaucho Marando (Juock Ping) vinadokeza kuwa Wananchi wa Shirati...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
CCM sasa ni ya matajiri, maskini wakafie mbele! Wengi wakimbilia Ubunge, Udiwani kuficha maovu yao Agizo la kutenganisha biashara na siasa lawekwa kapuni Na Daniel Mbega...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ilani ya CCM yadanganya Ilami ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2010 imesheheni takwimu zinazoikinzana, imegundulika. Katika ilani hiyo, ambayo anatumia mgombea Jakaya Mrisho...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Huyu ndiye mmoja wa Watanzania wa "kawaida"! - wavuti
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kama haongei anashiriki vipi majukumu ya bunge ya kutunga sheria?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katika pita pita yangu sijaona matangazo wala picha za Mgombea urais wa CHADEMA na Wabunge wa Chadema kwenye Bango lolote!!! Si mijini wala vijijini. Chadema imekuwaje kwani, maana watu wa...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Kuna taarifa kuwa Synovate wapo njiani kutoa matokeo ya maoni ya watanzania kuhusiana na uchaguzi 2010. Wasiwasi wangu ni kuwa bado watatumia sampuli ya watu 1,000 - 2,000 ambapo huenda wasipate...
0 Reactions
55 Replies
6K Views
Wanaendelea na kampeni zao na wamemuita Kagasheki wa CCM muwekezaji kwa miaka 5, na kwamba amefisadi mfuko wa jimbo. Watu wengi.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau, kuna yeyote ambaye anaweza kupata ratiba za Wagombea Urais- Dk. Slaa. Prof Lipumba na Kiwete? Mtubandikie hapa ili tuweze kujua lina wagombea hao watatembelea mikoa yetu twende...
0 Reactions
1 Replies
999 Views
Serikali ya kijiji CCM yahamia Chadema Na Anceth Nyahore 15th September 2010 Yumo Mwenyekiti na wajumbe wake sita Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Mwabagimu, Kata ya...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
nduzu zanguni kwani watanzania wote ni ccm?ukipitita barabara ya sam nujoma utakuta watu wanaweka bango katikati ya barabara,mi nauliza hizo sehemu kweli ni kwaajili ya mabango au ndio ccm...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kutoa maagizo kwa mkuu wa mkoa wa Mara, Mafuru, awaambie wana usalama wampeleke yule mjane ikulu ndogo ili amweleze shida zake ni sahihi kweli? Kwa nini asitoe maagizo kwa mwenyekiti wa UWT? Hivi...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Jamani nimesoma kwenye magazeti kuwa wabunge waliomaliza muda wao bado wanapokea mishahara na posho zao kama kawaida wakati bunge limeshavunjwa. Hii imekaaje si ufujaji wa mali ya umma.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Itakuwaje Dr Slaa asipochaguliwa kuwa rais? Agombee uspika? ili kuendelea kutetea wanyonge bungeni? Aelekeze nguvu kwenye chama ili ifikikapo 2015 Chadema kiwe imara zaidi? Najiuliza tu nini...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
HII KWANGU NI AJABU! nilichoona cha ajabu jana kwenye taarifa za habari itv,star tv na tbc1 ni kuwa.................tbc1 ilionesha kuwa mkutano wa chadema kulikuwa watu wachache saaan wakati itv...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
Back
Top Bottom