Elections 2010 Mdahalo wa urais kabla ya uchaguzi mkuu ni lazima

Mkombozi

JF-Expert Member
Feb 19, 2008
806
426
Wakuu, Nilikua nawaza sana kuhusu midahalo ya Urais kabla ya uchaguzi mkuu. Pamoja na kwamba SISIMU imekataa mdahalo kwa nini tusiwe na mdahalo wa vyama vingine vilivyobaki? Mdahalo live uandaliwe wa kuhojiana maswala mazito ya nchi na sio maisha binafsi ya mtu.

Nchi nyingi zilizoendelea zinakua na midahalo mingi, kwa nini Tanzania hala mmoja usiwepo? Mi naona mdahalo uwepo, chama ambacho hakitakuwepo basi tuweke JIWE au bango linalosema *NAOGOPA MDAHALO, SINA CHA KUSEMA*. Then waliobaki waendelee na mdahalo tuone ujuzi na jinsi gani watailetea Tanzania Maendeleo. Kinachotakiwa kufanywa ni kupiga advertisement ya nguvu ili siku hiyo kila mmoja awepo karibu na redio na luninga yake, kwa wale waliopo sehemu ambayo mdahalo unarushwa wahudhurie. Midahalo ya wabunge inarushwa bila SISIMU kuwepo lakini inaonesha ufanisi wa hali ya Juu. Tuwe na midahalo jama, asiyekuwepo hatumchagui kwni kama anakimbia mdahalo basi tukimchagua ikatokea shida atatukimbia pia

Nawasilisha
 
Naunga mkono hoja. Ili watu waone mchele na pumba ziko wapi laivu, hiyo imekaa bomba sema hata TV zetu mchwara hizi zitaringa kurusha midaharo.
 
Wakuu, Nilikua nawaza sana kuhusu midahalo ya Urais kabla ya uchaguzi mkuu. Pamoja na kwamba SISIMU imekataa mdahalo kwa nini tusiwe na mdahalo wa vyama vingine vilivyobaki? Mdahalo live uandaliwe wa kuhojiana maswala mazito ya nchi na sio maisha binafsi ya mtu.

Nchi nyingi zilizoendelea zinakua na midahalo mingi, kwa nini Tanzania hala mmoja usiwepo? Mi naona mdahalo uwepo, chama ambacho hakitakuwepo basi tuweke JIWE au bango linalosema *NAOGOPA MDAHALO, SINA CHA KUSEMA*. Then waliobaki waendelee na mdahalo tuone ujuzi na jinsi gani watailetea Tanzania Maendeleo. Kinachotakiwa kufanywa ni kupiga advertisement ya nguvu ili siku hiyo kila mmoja awepo karibu na redio na luninga yake, kwa wale waliopo sehemu ambayo mdahalo unarushwa wahudhurie. Midahalo ya wabunge inarushwa bila SISIMU kuwepo lakini inaonesha ufanisi wa hali ya Juu. Tuwe na midahalo jama, asiyekuwepo hatumchagui kwni kama anakimbia mdahalo basi tukimchagua ikatokea shida atatukimbia pia

Nawasilisha
Kwenye gazeti la Mwananchi la Jmosi kuna mchambuzi aliandika kwamba JK hawezi kukubali mdahalo akiogopa mambo makuu 3, lakini kubwa likiwa ni kuzidiwa mno ki'hoja, na uwezekano wa kuzimia kwa mara ya 4!

Lakini kimsingi na ijulikane kwamba yule mara nyingi anasoma hotuba zake zote, na hawezi maswali ya papo kwa papo!..Kwa hoja hizo ni bora tu ASIJE kwenye mdahalo, maana kunaweza kutokea MATATIZO makubwa zaidi kuliko kujenga!...huh!
 
Ni muhimu kwa chama kinachotawala kuwepo kwenye mdahalo kwani ndio sehemu muafaka ya kujibu maswali ya papo kwa papo na kujua kama huyu mtawala anajua anachotawala,unaweza kushangaa kiongozi hajui ni kwa nini wananchi anaowaongoza ni masikini.Suala la chama kutotaka kushiriki mdahalo ni uoga ambao umechangiwa na hali ya kisiasa iliyopo sasa hivi hivyo kutowapa fursa nzuri ya kushiriki na wakiamua kushiriki siku hiyo ndio itakuwa mwisho wa watanzania wengi kukipigia kura CCM.
 
Wakuu, Nilikua nawaza sana kuhusu midahalo ya Urais kabla ya uchaguzi mkuu. Pamoja na kwamba SISIMU imekataa mdahalo kwa nini tusiwe na mdahalo wa vyama vingine vilivyobaki? Mdahalo live uandaliwe wa kuhojiana maswala mazito ya nchi na sio maisha binafsi ya mtu.

Nchi nyingi zilizoendelea zinakua na midahalo mingi, kwa nini Tanzania hala mmoja usiwepo? Mi naona mdahalo uwepo, chama ambacho hakitakuwepo basi tuweke JIWE au bango linalosema *NAOGOPA MDAHALO, SINA CHA KUSEMA*. Then waliobaki waendelee na mdahalo tuone ujuzi na jinsi gani watailetea Tanzania Maendeleo. Kinachotakiwa kufanywa ni kupiga advertisement ya nguvu ili siku hiyo kila mmoja awepo karibu na redio na luninga yake, kwa wale waliopo sehemu ambayo mdahalo unarushwa wahudhurie. Midahalo ya wabunge inarushwa bila SISIMU kuwepo lakini inaonesha ufanisi wa hali ya Juu. Tuwe na midahalo jama, asiyekuwepo hatumchagui kwni kama anakimbia mdahalo basi tukimchagua ikatokea shida atatukimbia pia

Nawasilisha
Mimi sipo mbali sana na mawazo yako kuhusu midahalo ya wagombea ila ninachotaka kuongeza ni kwamba nadhani CCM inaogopa kushiriki midahalo hiyo kutokana na kushindwa kutimiza matarajio ya watanzania katika awamu ya nne inayoishia. Mwl.J.K.Nyerere aliwahi kusema "tutawauliza hata wgombea wenye sifa wanakwenda Ikulu kufanya nini? nNa wakishindwa kutueleza wanakwenda kufanya nini hawatufai", hivyo nadhani wakati sasa umefika tuwaulize kupitia midahalo ili tuwape fursa wale ambao si wanachama wa vyama ambavyo wagombea hao wanatokea kwani wanachama wachache ndio waliopata nafasi pengine ya kuwauliza wanakwenda Ikulu kufanya nini i.e namaanisha wajumbe wa halmashuri kuu tu.
Namalizia kwa kusema kuwa midahalo ni mahala pekee tunapoweza kuwapima wagombea.
 
Wakuu, Nilikua nawaza sana kuhusu midahalo ya Urais kabla ya uchaguzi mkuu. Pamoja na kwamba SISIMU imekataa mdahalo kwa nini tusiwe na mdahalo wa vyama vingine vilivyobaki? Mdahalo live uandaliwe wa kuhojiana maswala mazito ya nchi na sio maisha binafsi ya mtu.

Nchi nyingi zilizoendelea zinakua na midahalo mingi, kwa nini Tanzania hala mmoja usiwepo? Mi naona mdahalo uwepo, chama ambacho hakitakuwepo basi tuweke JIWE au bango linalosema *NAOGOPA MDAHALO, SINA CHA KUSEMA*. Then waliobaki waendelee na mdahalo tuone ujuzi na jinsi gani watailetea Tanzania Maendeleo. Kinachotakiwa kufanywa ni kupiga advertisement ya nguvu ili siku hiyo kila mmoja awepo karibu na redio na luninga yake, kwa wale waliopo sehemu ambayo mdahalo unarushwa wahudhurie. Midahalo ya wabunge inarushwa bila SISIMU kuwepo lakini inaonesha ufanisi wa hali ya Juu. Tuwe na midahalo jama, asiyekuwepo hatumchagui kwni kama anakimbia mdahalo basi tukimchagua ikatokea shida atatukimbia pia

Nawasilisha


CCM ni waoga wanopa kuumbuliwa wamezoea kudesa na kukariri majibu kuanzia mwenyekiti wao hawajiamini hata kidogo.
 
Ni vipi tutaweza kufanikisha mdahalo ufanyike? Labda tuanzishe kampeni mpya izunguke kwa wananchi kuwa chama kinachokataa mdahalo kisipigiwe kura. BILA MDAHALO, HAKUNA KURA!
 
ni vipi tutaweza kufanikisha mdahalo ufanyike? Labda tuanzishe kampeni mpya izunguke kwa wananchi kuwa chama kinachokataa mdahalo kisipigiwe kura. bila mdahalo, hakuna kura!

good excellent good nice stay tuned
wazo limefika penyewe
tbc wamesikia na undp,canada embassy,american embassy wamesikia.
 
Mimi naona vyama vyengine vingeendelea na mdahalo kama mwandishi alivyosema (mleta hoja). Kama vyama vyengine havitaki si lazima. Na kama hakuta kuwa na mdahalo wa kitaifa utakao andaliwa na vyama vilivyobaki basi hivyo vyama vitakuwa ni wasindikizaji na havistahili kushinda kwa kukosa ubunifu. Kuna ruzuku hutolewa kwa wagombea ubunge na urais sasa naona wagombea urais wengi wanajua hawatashinda, kubwa kwao ni hiyo ruzuku, sasa mdahalo wa nini wakati watashindwa mwisho wa siku.
 
JK hana touches za kuongea vitu katika logical order,hawezi kukubali mdahalo kamwe...
 
Jamani rais anayemaliza MUDA wake anakonda mno kwa hoja zetu humu.
ingawa juzi alijitia faraja kwa kusema kuwa wanaccm msitishike na upinzani wala msikose usingizi kwani watashinda kwa kishindo.
Nilisoma ktk alfu lela ulela kuwa Jini kuu lilipotaka kurudi enzini kwake LILIPIGA mguu kwa KISHINDO.
CCm inamaanisha kishindo kipi?

No Mdahalo
No Kura
 
Uwezo wa kupambanua mambo wa JK ni mdogo,yani hata hizo hotuba zenyewe anazokuwa keshazipitia anaweweseka,ije kuwa mdahalo? Itabidi kuwepo na Ambulance
 
Mimi sipo mbali sana na mawazo yako kuhusu midahalo ya wagombea ila ninachotaka kuongeza ni kwamba nadhani CCM inaogopa kushiriki midahalo hiyo kutokana na kushindwa kutimiza matarajio ya watanzania katika awamu ya nne inayoishia. Mwl.J.K.Nyerere aliwahi kusema "tutawauliza hata wgombea wenye sifa wanakwenda Ikulu kufanya nini? nNa wakishindwa kutueleza wanakwenda kufanya nini hawatufai", hivyo nadhani wakati sasa umefika tuwaulize kupitia midahalo ili tuwape fursa wale ambao si wanachama wa vyama ambavyo wagombea hao wanatokea kwani wanachama wachache ndio waliopata nafasi pengine ya kuwauliza wanakwenda Ikulu kufanya nini i.e namaanisha wajumbe wa halmashuri kuu tu.
Namalizia kwa kusema kuwa midahalo ni mahala pekee tunapoweza kuwapima wagombea.
Hapa mkuu wangu umefunga mjadala..
Mwl.J.K.Nyerere aliwahi kusema "tutawauliza hata wagombea wenye sifa wanakwenda Ikulu kufanya nini? Na wakishindwa kutueleza wanakwenda kufanya nini hawatufai",
 
Back
Top Bottom