Wakuu, Nilikua nawaza sana kuhusu midahalo ya Urais kabla ya uchaguzi mkuu. Pamoja na kwamba SISIMU imekataa mdahalo kwa nini tusiwe na mdahalo wa vyama vingine vilivyobaki? Mdahalo live uandaliwe wa kuhojiana maswala mazito ya nchi na sio maisha binafsi ya mtu.
Nchi nyingi zilizoendelea zinakua na midahalo mingi, kwa nini Tanzania hala mmoja usiwepo? Mi naona mdahalo uwepo, chama ambacho hakitakuwepo basi tuweke JIWE au bango linalosema *NAOGOPA MDAHALO, SINA CHA KUSEMA*. Then waliobaki waendelee na mdahalo tuone ujuzi na jinsi gani watailetea Tanzania Maendeleo. Kinachotakiwa kufanywa ni kupiga advertisement ya nguvu ili siku hiyo kila mmoja awepo karibu na redio na luninga yake, kwa wale waliopo sehemu ambayo mdahalo unarushwa wahudhurie. Midahalo ya wabunge inarushwa bila SISIMU kuwepo lakini inaonesha ufanisi wa hali ya Juu. Tuwe na midahalo jama, asiyekuwepo hatumchagui kwni kama anakimbia mdahalo basi tukimchagua ikatokea shida atatukimbia pia
Nawasilisha
Nchi nyingi zilizoendelea zinakua na midahalo mingi, kwa nini Tanzania hala mmoja usiwepo? Mi naona mdahalo uwepo, chama ambacho hakitakuwepo basi tuweke JIWE au bango linalosema *NAOGOPA MDAHALO, SINA CHA KUSEMA*. Then waliobaki waendelee na mdahalo tuone ujuzi na jinsi gani watailetea Tanzania Maendeleo. Kinachotakiwa kufanywa ni kupiga advertisement ya nguvu ili siku hiyo kila mmoja awepo karibu na redio na luninga yake, kwa wale waliopo sehemu ambayo mdahalo unarushwa wahudhurie. Midahalo ya wabunge inarushwa bila SISIMU kuwepo lakini inaonesha ufanisi wa hali ya Juu. Tuwe na midahalo jama, asiyekuwepo hatumchagui kwni kama anakimbia mdahalo basi tukimchagua ikatokea shida atatukimbia pia
Nawasilisha