GE2010 Tuchague roho mtakavitu au mtakatifu?

GE2010 Tuchague roho mtakavitu au mtakatifu?

urasa

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2010
Posts
434
Reaction score
2
ukkiangalia mwenendo mzima wa kampeni za chama tawala utagundua yafuatayo
  • matumizi makubwa ya rasilimali za watanzania kwa maslahi ya ccm ikijumuisha kuwanunua wapinzani na kuwatawanya makada wake sehemu mbalimbali za nchi kama inavyoripotiwa na vyombo vya habari
  • matumizi ya taasisi za umma kama jeshi,ofisi za maafisa mbalimbali kama ma dc,ded na hata ma rc kwa manufaa ya chama
  • kutoa propaganda zilizokosa uzalendo kama elimu na afya bure haviwezekani huku wakigawa vitu kama kanga,t shirts,kofia na hata kuwabeba wanachama kwa usafiri mbalimbali kwa lengo la kujaza mikutano yao
kiujumla chama kimekuwa kimaslahi zaidi kulikom kiungwana na kiuzalendo,je tuendelee na hao wenye roho mtakavitu?
 
Back
Top Bottom