Takwimu mbalimbali machoni pa uongozi wa juu wa CCM zimedhihirisha uchaguzi huu watadondoka vibaya katika Uraisi na Ubunge lakini watapeta katika udiwani.
Mwaka 1995, CCM walipoona viti vyote...
Nimekuwa nikitumiwa haya matext meseji na na hawa mafisadi. Kama kuna mtu anaweza kustop hii kitu anisaidie.
ETI...
Tanzania ni kisiwa cha amani.Tunaamini KIKWETE kwa kushirikiana na wananchi...
"TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI (NEC) IMEVITAKA VYAMA VYA SIASA KUTOA WATAALAM WAO WA WA KOMPYUTA KUJIRIDHISHA NA MFUMO UTAKAOTUMIKA KUJUMLISHA MATOKEO"
Nimeziona tetesi hizo facebook,kama ni kweli...
Je kuna mtu ambaye anatumia mtandao mwingine zaidi ya Voda ambaye amepata ile msg ya kumkashifu Slaa inayotoka kwenye namba ya kughushi, yenye code fake ya Finland, moja kwa moja?
Imeonekana...
KUNA TETESI KUWA NEC IMEBIDI IANDIKISHE VIJANA WA FORM 6 ILI KUSIMAMIA UCHAGUZI UJAO HII INATOKANA NA WAALIMU KUSUSIA KIWANGO CHA PESA WATAKACHO PEWA CHA SH 55000 kwa zoezi zima la SIKU 5.KIASI...
:argue:
Wanajamii wenzangu, je haya majibu yanasadifu kile kilichokuwa kikidaiwa na walengwa wa lile lalamiko?
CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
UFAFANUZI KUHUSU FURSA KWA WANAFUNZI KUPIGA
KURA CHUONI...
Sheria ya Taifa ya Uchaguzi (sura ya 343) 30 Juni 2010 inatuelekeza nini?
7(5) Kila msimamizi wa uchaguzi na msaidizi wake wataapa kiapo cha kutunza siri mbele ya hakimu.
[ni siri gani hii wakati...
Wana JF,
Kwa taaaarifa ya kutoka kwa mtu wangu wa karibu huko Dar ameniambia Katibu Mkuu wa CCM Yusuph Makamba Kutua Arusha muda wowote kuanzia kesho akiongozana na Jopo la wana CCM Taifa...
Ndugu wadau,
Kuna taarifa nimekuwa nikizipata siku za hivi karibuni kutoka Wilayani Serengeti kwamba mgombea ubunge wa jimbo la Serengeti kupitia chama cha CCM aliandika barua ya kutaka kujitoa...
Nimesoma Habari leo! Mwandishi Steven Peter ameanika wazi kuwa Mbowe ndiye aliyetangaza kumwaga damu kama Chadema isingechaguliwa. Nakumbuka Mh Dr Slaa akiwapa changamoto mjeshi amkamate aliyetoa...
JK amekuwa akiwabeza wapinzani wake kuwa wanatoa ahadi ya kutolewa elimu bure wakati haitekelezeki. Lakini ni JK huyo huyo ambaye siku si nyingi alisema atatoa computer (desktop) kwa kila...
Ujumbe umefutwa (nakala ipo), ulikuwa unataja majina ya watu moja kwa moja bila kuwa na ushahidi wa wazi. JF HAIPO kumchafua mtu bila kuwa na uthibitisho wa kauli. Mwanzisha hoja akija na ushahidi...
Friday, 15 October 2010
Na Hussein Kauli
SIKU 16 kabla ya kufanyika wananchi kupiga kura, askofu mkuu wa Kanisa la Anglikana, Dk Valentino Mokiwa amedai kuwa hivi karibuni alipelekewa rushwa...
By Ansebert Ngurumo
SWALI kuu la wiki hii ni hili: Kwa nini Rais Jakaya Kikwete ameogopa kuwatumia wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), badala yake akawatumia wanafamilia kutafuta wadhamini...
Yale yaliyomkuta Mrema mwaka 1995 ndio yanaelekea kumkuta Slaa,
Naam,,, sio wote wanaokwenda kwenye mikutano yake ni wapiga kura wake... Hayo yamedhihirika katika mkutano wake wa hivi karibuni...
WanaJF
Naelekea kuanza kuamini kuwa NEC wanaweza wesiwe huru kwa katika uchaguzi huu
naanza kuamini kuwa NEC iko under remote control ya UWT na imevamiwa na Vijana wa IT wa UWT, mpaka sasa...
chizi maarufu mjini dodoma almaarufu 'morogoro-dar' au 'usalama wa taifa' amekuwa akionekana katika mitaa ya mji huu; huku akiwa katika mbio kwenye mitaa ya jiji hili, akipuliza kipenga chake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.