mwaka huu ndo mwaka niliokua nausubili kwa hamu hapa kwetu tanzania,maana heshima haitakuja bila kumwaga damu japo kidogo,ukiangalia nchi nyingi dunian zenye maendeleo chimbuko lake ni udictator!hivyo serikali ya ccm itakapo ona damu ya watanzania imemwagika ndipo watakapo ona na kutambua sasa watanzania sio wale wa kipindi kile cha zilipendwa!!mi naona kuna kila sababu ya watanzania kupigana japo kidogo ili national cake iweze kukawanywa kwa usawa na sio kwa kina RK,JM, na wengineo!!