Ah! Chadema noma! Nimeona kupitia ITV hiyo nyomi ya hapo shy town. Nimeona hadh upeo wa macho yangu tu huo umati. Ee Mungu mapenzi yako yatimie katika mageuzi haya. Ccm bye. So sad
Jamani mie siipendi CCM mie!!!!!!!!!
CCM ipumzike kwa amani (IKA)I can't wait for the moment ya kutangaza raisi mpya