Caren
JF-Expert Member
- Feb 12, 2010
- 278
- 91
Niko kwenye kochi nimetulia nawaangalia wagombea ubunge wa jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CHADEMA Philip Mogendi na Juliuus Mtatiro wa CUF na mgombea jimbo la Ubungo wakijadili mada ya keki ya Taifa. Hawa vijana kwa kweli wamejiandaa kuchukua majimbo yao. Wanajua mambo kwa kweli.