Mwaka flani ilitolewa tahadhari ya kutoke kimbuka baharini watu wakahamishwa na bahari ikawa seized then watu wakapitisha meli yenye madawa ya kulevya meli ikakamatwa aliyekamatwa akapigwa benchi anyway natural phenomenas huja na viashiria havitokeagi ghafla ghafla kama chafya
 
Mbona hali shawri labda iki ambacho kipo uko mbali kije kutua huku ila dalili ya tsunami lazima mvua na upepo utangulie
 

Attachments

  • Screenshot_20231018-213656.jpg
    Screenshot_20231018-213656.jpg
    150.7 KB · Views: 1
Tsunami inatokana tetemeko la ardhi ya bahari, ni lini wataalamu wetu wali tabiri tetemeko, eti kutakuwa na mlipuko wa volcano, nchi gani iliwahi kutabiri eti kesho kutakuwa na mlipuko wa volcano?
Wengine wakasema eti vyombo vilikuwa vinapimwa utayari, Kama wanachi wenyewe wameona ni upuuzi hivyo vyombo vya dola ndio vitaogopa?
Halafu utayari wa vyombo vya dola si ni kuwahamisha wanachi toka maeneo yenye hatari, sasa ni kazi gani iliyofanyika leo ya utayari
 
ndio maana huwa nawashangaa wanzanzibar kutuona wabara chogo,, uwepo wenu hapa bongo tunawasaidia tu, ndio maana tunawapa na ardhi na mnaishi hata kama sisi kule kwenu ni vyogo. kisiwa chenu kila siku huwa kinapungua, itafika mahali mtakuwa samaki na ninyi, wengine watabadilika kuwa nyangumi wengine papa wengine changu wengine kibua kwasababu miaka ya mbeleni kitamezwa na maji. mtakimbilia wapi kama sio bara? kuna kakisiwa fulani bahari ya hidi hapo kamepukutika karibia kanaisha. haya na hizo volcano, zikilipuka, mtakimbilia wapi? mnataka muishi kwenye mashua? mshukuruni Mungu mpo kwenye muungano na mtuheshimu acheni zarau.
na siku Zanzibar wahihamishwa Bara kukimbia maafa ya bado watatengewa eneo la pori tengefu kuendesha Zanzibar ndani ya Tanganyika ili "ku maintain identity ya Zanzibar isije kumezwa." Katika kuzienzi akili mbovu za Muungano wa Nyerere.
 
Hivi huko TMA mna uhakika kuna meteorologist wazoefu au kuna wanafunzi wa Fied wanjifunza kufanya kazi..

Maana Imekuwa kama Ofisi ya Ramli ya Taifa Sasa!

Zamani tuliiamni sana ila kwa sasa naona imekuwa Too much..

Walivyoona Elnino haitakuwepo tena sasa wameona ni bora waje na Utabiri mwingi ilimradi tu tusiishi kwa Raha tuishi kwa Mashaka mashaka ndo furaha yao.

Sasa leo wanasema kuna Tsunami Dah haaya bhna.

View attachment 2785593

Haya yamekuja baada ya Biteko kuwekwa kuwa NWM 😀😀(kdn)

_______________________
UPDATE...
------------------------------
Nimepata Update ya tovuti Ya Hali ya Hewa Ya Shirika la Kimataifa Na East African Weather forecasting kutoka East Africa Hazards Watch (EAHW)
Inaonyesha hali ya mvua kubwa katika nchi za Somalia,Ethiopia ,Kenya kidogo na Sudan ya kusini na Uganda
Ila hilo swala la volcano wala elnino halipo kwa miezi yote miwili wa kumi na kumi na moja hakuna mvua ya elnino...

View attachment 2785713
Safi sana
 
Mkuu nimepitia hapa nimeona only kuna mvua kubwa tu Somalia, Ethiopia ,Kenya kidogo,South Sudan na Uganda
Ila Tanzania ni kweupe kabisaa na hata mwezi wote wa kumi nimeona ni peupe sana... Mpaka mwezi wa 11 mwishoni ndo kuna mvua za vuli 😀😀 Shukrani sana mkuu kwa hii tovuti hawa TMA sasa Bybye
View attachment 2785687
Kwa Tanzania ni mkoa wa Kagera ndio uliopata mvua kubwa. Hata vyombo vya habari naona wameonyesha baadhi ya sehemu zilizoathirika.

Key
Light blue - Heavy rains
Dark blue - Torrential rains
 
Back
Top Bottom